February Makamba
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 2,116
- 2,820
ilikuwa ghaflaMwenyewe umeandika au ndiyo uongozi wa roho mtakatifu wa Issa huo
ilikuwa ghaflaMwenyewe umeandika au ndiyo uongozi wa roho mtakatifu wa Issa huo
Ghafla ya roho mtakatifu Na mat..ko yake akimtoa Issa ??ilikuwa ghafla
hyo ni mistar ya quran au?Ghafla ya roho mtakatifu Na mat..ko yake akimtoa Issa ??
Kwani roho mtakatifu wako ndivyo alivyokutekenya hivyo?hyo ni mistar ya quran au?
huyo ni allahKwani roho mtakatifu wako ndivyo alivyokutekenya hivyo?
Roho mtakatifu wako kakutekenya tena ?huyo ni allah
Ni Allah ahmaqRoho mtakatifu wako kakutekenya tena ?
Matekenyo ya Roho mtakatifu wako yamekuzidi hahahaha!!!!!!Ni Allah ahmaq
nimekuambia ni allah...mbn unamshirikisha allah na hyo roho mtakaifu?? hiyo ni shirkiMatekenyo ya Roho mtakatifu wako yamekuzidi hahahaha!!!!!!
Roho mtakatifu wako atakumaliza kwa matekenyonimekuambia ni allah...mbn unamshirikisha allah na hyo roho mtakaifu?? hiyo ni shirki
Ngoja allah akusikie atakumaindRoho mtakatifu wako atakumaliza kwa matekenyo
Bado Tu ni vidole vya mtakatifu vinakutekenyaNgoja allah akusikie atakumaind
Tanganyika tunayo nchi kabla hata ya muungano wa 1964. Tunakuwa na roho ndogo sana kuona mzenji anaongoza.Mbona hamueleweki kwani kwa sasa hii nchi mbona inaongozwa na wanzanzibar nini tena mnataka, sisi Tanganyika ndio tunataka nchi yetu
Allah ana kazi kweliBado Tu ni vidole vya mtakatifu vinakutekenya
Uko varu varu kwa tekenya za Roho mtakatifu wakoAllah ana kazi kweli
Kwa muda mrefu tangu muungano wa Tanganyika na Zanzibar hawa ndugu zetu kutoka Zanzibar wamekuwa hawaridhishwi na huu muungano, inasemakena hadi Rais wa kwanza wa Zanzibar alishawahi sema muungano ni kama koti likikubana unalivua.
Pia nakumbuka awamu ya 4, Rais akiwa Kikwete kuliibuka wimbi kubwa sana la wanaharakati kutoka Zanzibar wakiongozwa na jumuia ya UAMUSHO wakidai Zanzibar inatakiwa kuwa huru eti kisa viongozi wao wanachaguliwa kutoka Tanganyika.
Lakini jambo la ajabu awamu hii ya sita ni kama hakuna tena hizi harakati za kuvunja muungano wetu mtukufu sasa najiuliza je, shida ilikuwa nini kwa hizi harakati na imekuaje awamu hii zisisikike tena? Au ulikuwa ni unafiki tu wa wanasiasa na sasa hivi wameona huu muungano unawanufaisha na wao!
Kwa mtazamo wangu muungano huu Zanzibar ndiyo wana manufaa kuliko Watanganyika hivyo wanapaswa kuupigania ili uendelee na wao wazidi kunufaika.
Mzanzibar ana haki ya kumiliki ardhi Tanganyika wakati Mtanganyika hana hiyo haki Zanzibar. Je, nani hapo ananufaika? Nawaomba tena Wanzanzibar waache unafiki huu muungano wao ndiyo wanufaika.
MUUNGANO UDUMU MILELE.
Tatizo kubwa la wadanganyika ni UJUHA UJUHA UJUHA! Mmezoea kudanganywa na msakuwa summu bukmun fahum la yarjiuun. Mlianza kudanganywa toka enzi za maji maji na hadi leo hii hamjui kutumia akili kufikiri outside the box. Mume baki kushangiria lolote lile asemalo kiongozi wenu japo kuwa ni uongo au sio sahahi na deep down mnajua kuwa ni uongo au sio sahihi. As long as mkiambiwa ccm oyeee! tanzania oyeee! basi mnakwenda tu mazumbumbu!Tatizo kubwa la Wazanzibari ni ELIMU ELIMU ELIMU
Mezani UN, wameamua kutumia zaidi sheria kuliko kupiga makelele mitaani.Waliokuwa wanapiga kelele sasa hivi wako mezani
Mkidai sis wazanzibari tuko tayari kuwapa support, muungano mwisho chumbe!!!!!Wao ndio wanaongoza nchi wamudai nani sasa?
Sisi wabara ndio tukadai.