Mbona harakati za kuidai Zanzibar huru ni kama zimekufa awamu hii?



4A4B8236-0AAA-4A16-B17A-C8784D5BC27D.jpeg
 
Kwa muda mrefu tangu muungano wa Tanganyika na Zanzibar hawa ndugu zetu kutoka Zanzibar wamekuwa hawaridhishwi na huu muungano, inasemakena hadi Rais wa kwanza wa Zanzibar alishawahi sema muungano ni kama koti likikubana unalivua.

Pia nakumbuka awamu ya 4, Rais akiwa Kikwete kuliibuka wimbi kubwa sana la wanaharakati kutoka Zanzibar wakiongozwa na jumuia ya UAMUSHO wakidai Zanzibar inatakiwa kuwa huru eti kisa viongozi wao wanachaguliwa kutoka Tanganyika.

Lakini jambo la ajabu awamu hii ya sita ni kama hakuna tena hizi harakati za kuvunja muungano wetu mtukufu sasa najiuliza je, shida ilikuwa nini kwa hizi harakati na imekuaje awamu hii zisisikike tena? Au ulikuwa ni unafiki tu wa wanasiasa na sasa hivi wameona huu muungano unawanufaisha na wao!

Kwa mtazamo wangu muungano huu Zanzibar ndiyo wana manufaa kuliko Watanganyika hivyo wanapaswa kuupigania ili uendelee na wao wazidi kunufaika.

Mzanzibar ana haki ya kumiliki ardhi Tanganyika wakati Mtanganyika hana hiyo haki Zanzibar. Je, nani hapo ananufaika? Nawaomba tena Wanzanzibar waache unafiki huu muungano wao ndiyo wanufaika.

MUUNGANO UDUMU MILELE.
Sisi tuko Kimya, tunajua kutokana na hali ilivyofikia nyinyi ndio mutakaouvunja Muungano
 
Kwa muda mrefu tangu muungano wa Tanganyika na Zanzibar hawa ndugu zetu kutoka Zanzibar wamekuwa hawaridhishwi na huu muungano, inasemakena hadi Rais wa kwanza wa Zanzibar alishawahi sema muungano ni kama koti likikubana unalivua.

Pia nakumbuka awamu ya 4, Rais akiwa Kikwete kuliibuka wimbi kubwa sana la wanaharakati kutoka Zanzibar wakiongozwa na jumuia ya UAMUSHO wakidai Zanzibar inatakiwa kuwa huru eti kisa viongozi wao wanachaguliwa kutoka Tanganyika.

Lakini jambo la ajabu awamu hii ya sita ni kama hakuna tena hizi harakati za kuvunja muungano wetu mtukufu sasa najiuliza je, shida ilikuwa nini kwa hizi harakati na imekuaje awamu hii zisisikike tena? Au ulikuwa ni unafiki tu wa wanasiasa na sasa hivi wameona huu muungano unawanufaisha na wao!

Kwa mtazamo wangu muungano huu Zanzibar ndiyo wana manufaa kuliko Watanganyika hivyo wanapaswa kuupigania ili uendelee na wao wazidi kunufaika.

Mzanzibar ana haki ya kumiliki ardhi Tanganyika wakati Mtanganyika hana hiyo haki Zanzibar. Je, nani hapo ananufaika? Nawaomba tena Wanzanzibar waache unafiki huu muungano wao ndiyo wanufaika.

MUUNGANO UDUMU MILELE.

B1F47FB7-B376-49C7-A6F2-AFFF27C3E270.jpeg
 
Kwanini huwa mnafeli sana mitihani? Hili swali nauliza huu mwaka wa 10 sijapata jibu
Hebu anza na ni nani anae set mitihani na nani ana mark mitihani, wapi inakofanyiwa marking na mwisho ni nini agenda ya badi ya mitihani kwa wazanzibari? Mwisho mbona wale waliopelekwa Canada kusoma baada ya kutofanya uzuri katika mitihani iliyotungwa na bodi ya mitihani ya wadangayika, lakini walifanya vizuri katika mock exams zilizotungwa zanzibar, wanaendelea vizuri sana katika elimu yao ya juu na hakuna alie feli mwaka wao wa kwanza?
 
Sasa hv wanatawala kote kote wapige kelele za nini?

Chao ni chao....na chetu pia ni chao
Tatizo la wadanganyika ni kuwa humwishi kutafuta sababu za kulalamika. Mnalalamika raisi akiwa muislamu, mnalalamika akitokea zanzibar na hata akiwa mkristu na anatokea bara mnalalmika alikotokea, Yaani hata sijui mnataka raisi awe kutoka wapi na anafata dini gani ndio mridhike? Kwa nini hamridhiki kuwa raisi ni mtanzania full stop? Kwa nini daima ni udini na ukabila tu!
 
Tatizo kubwa la wadanganyika ni UJUHA UJUHA UJUHA! Mmezoea kudanganywa na msakuwa summu bukmun fahum la yarjiuun. Mlianza kudanganywa toka enzi za maji maji na hadi leo hii hamjui kutumia akili kufikiri outside the box. Mume baki kushangiria lolote lile asemalo kiongozi wenu japo kuwa ni uongo au sio sahahi na deep down mnajua kuwa ni uongo au sio sahihi. As long as mkiambiwa ccm oyeee! tanzania oyeee! basi mnakwenda tu mazumbumbu!
mzee watanzania tunaongea kiswahili hayo masum bukuma fahyum ndo manini?
 
Hebu anza na ni nani anae set mitihani na nani ana mark mitihani, wapi inakofanyiwa marking na mwisho ni nini agenda ya badi ya mitihani kwa wazanzibari? Mwisho mbona wale waliopelekwa Canada kusoma baada ya kutofanya uzuri katika mitihani iliyotungwa na bodi ya mitihani ya wadangayika, lakini walifanya vizuri katika mock exams zilizotungwa zanzibar, wanaendelea vizuri sana katika elimu yao ya juu na hakuna alie feli mwaka wao wa kwanza?
Nani anagharamia scholarships za hao waliofeli mitihani, ni Shamba la Bibi kama kawaida?
 
Nani anagharamia scholarships za hao waliofeli mitihani, ni Shamba la Bibi kama kawaida?
NGO imeanzishwa na wazanzibari na haipatiwi senti moja na serikali ya zanzibar au tanganyika, Ni NGO ya wazanzibari waishio nje ya nchi kwa manufaa ya wanzibari walio ndani ya nchi. EAT YOUR HAT!!! Ha!
 
19 Reactions
Reply
Back
Top Bottom