Retired General Robert Mboma, kaondoka hapa ubungo asubuhi hii kwa misonyo na hasira sana. Neno alilolitamka ni " NDANI YA SIKU TANO, TUTAONA NANI BINGWA ".
Habari za kuamininika toka hapa TANESCO zinaeleza kuwa maneno hayo ni kusudio la kuhujumu shirika la TANESCO kwamba kuanzia alhamis wiki hii nchi itaingia gizani kwa namna yoyote ile.
Inasemekana kuwa huu ni mkakati wa kikao cha pamoja baada ya sakata la TANESCO Bungeni siku ya Jumamosi kiloichowakutanisha;
Retired Maj. Gen. Mboma mwenyewe, ndg. Mhando, Mh. Mkono, Mh. Ole Sendeke na wawakilishi wa makampuni yaliyonyimwa ulaji kuuza mafuta na vipuli vyao hapa TANESCO.
Jamani sasa tunapaza sauti Usalama wa Taifa, Polisi, vyama vya siasa na asasi za kiraia na Wataalam wote wa TANESCO wenye maadili na Wananchi wote, kuwafuatilia kwa karibu hawa watu wanaopanga hujuma. Katibu Mkuu Maswi, je hizi taarifa unazo? Boniface Njombe na Nazil Kachwamba waitwe watakuwa na la kueleza.
Habari za kuamininika toka hapa TANESCO zinaeleza kuwa maneno hayo ni kusudio la kuhujumu shirika la TANESCO kwamba kuanzia alhamis wiki hii nchi itaingia gizani kwa namna yoyote ile.
Inasemekana kuwa huu ni mkakati wa kikao cha pamoja baada ya sakata la TANESCO Bungeni siku ya Jumamosi kiloichowakutanisha;
Retired Maj. Gen. Mboma mwenyewe, ndg. Mhando, Mh. Mkono, Mh. Ole Sendeke na wawakilishi wa makampuni yaliyonyimwa ulaji kuuza mafuta na vipuli vyao hapa TANESCO.
Jamani sasa tunapaza sauti Usalama wa Taifa, Polisi, vyama vya siasa na asasi za kiraia na Wataalam wote wa TANESCO wenye maadili na Wananchi wote, kuwafuatilia kwa karibu hawa watu wanaopanga hujuma. Katibu Mkuu Maswi, je hizi taarifa unazo? Boniface Njombe na Nazil Kachwamba waitwe watakuwa na la kueleza.