Nelly
JF-Expert Member
- Jan 25, 2020
- 5,688
- 11,203
Na pork? Ama ndo miit poki?😂😂Nyama siyo mboga, ni miiit .!
Na pork? Ama ndo miit poki?😂😂Nyama siyo mboga, ni miiit .!
Spinachi, sukuma wiki, mchicha, kabechi vyote ni vijitebo. Huku neno mboga kiswahiliswahili likiwakilisha viambata unavyo weza tumia wakati wa kusonsomola ugali au wali. Kwa mfano nyama, mchicha green beans n.k vyote vikiitwa MBOGA. sasa neno MBOGA kwa kizungu ndo lipojeNyama siyo mboga, ni miii
Hahahaaa poku miit halal.Na pork? Ama ndo miit poki?😂😂
Hujaenda jumapili kanisani?Mshana Jr badili jiwe hili kuwa samaki wana JF wapate mboga!
Tawire indaabha mtiniwenaHujaenda jumapili kanisani?
Kibongo bongo ni mtihani kupata tafsiri sahihi ila kwa walami kila kitu kipo wazi vegetables,meat,pork mpaka ma sii fudimboga za majani(mchicha, figili, mnafu n.k)
nataka kujua mboga zisizo za majani ndo zinaitwaje? NENO MBOGA
Uko sawa. Kwa wenzetu hawana neno MBOGA kama neno moja linalowakilisha chainizi, nyama, sukumawiki n.k. angalia roboti lilivyo jibu hapaKibongo bongo ni mtihani kupata tafsiri sahihi ila kwa walami kila kitu kipo wazi vegetables,meat,pork mpaka ma sii fudi
Tawireeee!Tawire indaabha mtiniwena
Wanaoenda ughaibuni kwa mara ya kwanza bila muongozo ni mateso sanaaUko sawa. Kwa wenzetu hawana neno MBOGA kama neno moja linalowakilisha chainizi, nyama, sukumawiki n.k. angalia roboti lilivyo jibu hapa
View attachment 3330771
Mtaalamu wa mapishi nipo hapa (genius)Kama unapenda ubunifu wa mapishi mbalimbali ya mboga basi pitia huu uzi
Unajua ufundi na ladha viko kwenye mboga na sio ugali au ubwamba?View attachment 3330716
Hizo ni jitihada za mtu masikin kujiamisha na yeye anakula 😂Hizo picha zote hakuna mboga hapo!
😀 haha hawa wabahili sanaWana bei gani waulize chap nifanye mambo