KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 35,809
- 86,647
Mkuu unajua samaki wewe..??
Mh! kitambo sana sijala vya namna hiyo!..😅Najua umezoea hiziView attachment 3330761
Hilo harage linavutia limeungwa linapendezaNajua umezoea hiziView attachment 3330761
Hii inamvuto kuliko zoteWewe ni chula😂View attachment 3330748
Anasema kweli, hakuna mboga hata mimi sijaona nyama.Ulitaka kuona maharagwe? Au uduvi? Au kamongo?😂😂😂
Maji na mchicha hiyo.Wewe ni yanga?🤣View attachment 3330731
Vejetebooz!mboga kwa kizungu zinaitwaje
Hata mdudu?😂Vejetebooz!
Ukiweka ugali nyama mezani na mtu akakomba zote utasikia wanasema acha kukomba mboga. So nyama hapo imegeuka vijitebo?Vejetebooz!
Nyama siyo mboga, ni miiit .!Hata mdudu?😂
Tatizo watu hawajui tofauti ya mboga na nyama.Ukiweka ugali nyama mezani na mtu akakomba zote utasikia wanasema acha kukomba mboga. So nyama hapo imegeuka vijitebo?