Mbinu rahisi za kumtokea mkaka

Mbinu rahisi za kumtokea mkaka

Nauna unajitafutia kifo cha pole pole
hakuna mateso duniani kama mwanamke kumpenda mwanaume asiekupenda,hapo ili umpate inabidi ujigonge kwake yes ataingia laini lakini akishakulamba hiyo k utaishi kwa shida maisha yako yote kwenye hayo mahusiano
wacha kabisa
acha asili ichukue mkondo wake usimtongoze mwanaume kamwe? Kwani umekosa nini? Mihemko tu ya muda hiyo..ooooh moyo mdanganyifu???????

Well said! But anaweza kutumia baadhi ya mawazo aliyopewa mfano ya Kaunga..

Na at the end asimtongoze, jamaa ndo awe mtongozaji au wawe wametongozana lol

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
amenivutia tu dia na tukilandana zaidi awe mwenza wangu wa kuzikana mungu akipenda, natamani kweli mda mfupi tu uliopita amaeniomba pen eti yake imegoma khaa basi nimefurahi

Kwasababu ni process kutimiza hizo ndoto zako basi ukifanikiwa kumweka ndani siku moja uje hapa utukumbushe hii Stori.
 
Jifunze interests zake, ukizijua ziown ili muwe karibu.Be decent na jiaminiKuwa naye karibu kiprofessional ila ukipata nafasi a joke or two inaweza kumfanya amiss presence yako ukiwa haupo.Akisha jenga mazoea then punguza ukaribu, atakufuata mwenyewe.
weee mkali nimeipenda mbinu yako
 
jifunze interests zake, ukizijua ziown ili muwe karibu.
Be decent na jiamini
kuwa naye karibu kiprofessional ila ukipata nafasi a joke or two inaweza kumfanya amiss presence yako ukiwa haupo.
Akisha jenga mazoea then punguza ukaribu, atakufuata mwenyewe.

hii imekaa vizuri kidogo. It may work.
 
chimala ebu weka picha yako tukuthaminishe kwanza.. Ukipata na ya huyo kaka well. (JOKE)

From their tunaweza kukushauri umwambie au usimwambie .. Usije ukaja kushindwa kufanya kazi bureee kwi kwiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
chimala ebu weka picha yako mtukuthaminishe kwanza.. Ukipata na ya huyo kaka well. (JOKE)

From their tunaweza kukushauri umwambie au usimwambie .. Usije ukaja kushindwa kufanya kazi bureee kwi kwiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Mchunguze lunch anapenda kula nini halafu one day unakua kama unamtania unamtoa lunch!mkiwa wawili unaomba back ground yake
 
Last edited by a moderator:
Jifunze interests zake, ukizijua ziown ili muwe karibu.
Be decent na jiamini
Kuwa naye karibu kiprofessional ila ukipata nafasi a joke or two inaweza kumfanya amiss presence yako ukiwa haupo.
Akisha jenga mazoea then punguza ukaribu, atakufuata mwenyewe.

I think this also help the other way 'round...Oooh boy..Ooh boy!!
 
Mwambie unavyojiskia juu yake.. Asipokujibu., cku inayofuata ikiwa bado haeleweki au hakutaki nenda front tena but safari hii mueleze ulikuwa unatania.. C unajua wanawake mna sura mbili..©
Believe me utapata results zitakazo kuhusu..
 
hata kumchunia siwezi nikimuona tu najikuta natabasamu, tupo ofisi moja tumetenganishwa na cubes tu, ila alipokaa yeye ni lazima umuone ukiwa unatoka ama kuingia ofisini , nampenda kweli huyu mkaka, tatizo ni huo woga wa kumfikishia ujumbe, maskini mie


da pole sana, bora uchunguze kwanza kama ameoa au ana mtu wake, lakini kwa ushauri wangu mapenzi na m2 wa ofisi moja itawacost either hiyo kazi au mapenzi yasidumu..sipendagi kabisa uhusiano wa ofisi moja, ufanisi wa kazi unapungua sana..na ikitokea siku mna mabifu sijui itakuwajee

lakini waweza kuunasa moyo wa mwanaume kwa kuonyesha kujali mfano, kumletea zawadi ndogo km key holder, pen, diary, n.k, unaanza na vitu visivyo husiana na mapenzi directly kwanza(sio unamletea chupi 1st day)

wakati mwingine unanunua lunch box 2 ya kwako na yake unampatia, this may be done once in a week..

unaweza kumuomba ushauri wa maendeleo mfano biashara au ujenzi, au kununua gari..

pia waweza muomba msaada wa kazi ndogo ya ofisini km hatajali
 
  • Thanks
Reactions: rom
Tumia mbinu za kike na sio mbinu za kiume wanazosema watu, eti hooo mwambie, utamwambiaje mwanaume live atakuona shida yako ni mchezo tu na baada ya mchezo hatakuwa na time na wewe. Tumia maujanja ya kike. Halafu mpo ofisi moja be careful
 
tafakuri kisha jijibu we mwenyewe.je,atanipenda mpaka mwisho?je nikipata mimba ataikubali?vip ukimwi ?n.k.Mchunguze kwanza anaweza kuwa na mtu wake wanapendana sana halaf we ukandandia tu.
 
jamani kuna mkaka hapa ofisini ananivutia mpaka basi, natamani nimwambie live ila najistukia tena kama ataniona kicheche, nifanyeje nimweke karibu yangu,

Mwambie, ataelewa. There's no harm in trying..."Only the Truth will set (Both of) you free!"
 
... mvalie rohorojo transparent kidogo, then... usimsemeshe..
... vaa braa za kusimamisha tits...

--- Mwalike lunch... don't tell him anything...

-- ukimaliza lunch, baada ya two days mwalike dinner only u two, then mvalie kumuua, then maongezi yakinoga MWAMBIE MKALE TUNDA, utalipia gharama zote na umekuja na condoms paketi 5, yaani za mechi round 15..

... Goodluck..

Tahadhali,Jiangalie unalipa?usije kuwa kituko!
 
Jifunze interests zake, ukizijua ziown ili muwe karibu.
Be decent na jiamini
Kuwa naye karibu kiprofessional ila ukipata nafasi a joke or two inaweza kumfanya amiss presence yako ukiwa haupo.
Akisha jenga mazoea then punguza ukaribu, atakufuata mwenyewe
 
ni mrefu, mtanashati mpole sio mwongeaji kivile, mpaka umwanzishie story na yeye ataendelea hapo,

Hapendi mitoko sana ni yeye na nyumbani kwake tu, aliosoma nao wana umri kati ya 33 hadi 35 na yeye nadhani atakuwa kati ya huo umri,

anatabia kama zangu, sasa unaonaje ukanitumia kama test, ukasema kila ulilonalo, na tukapata mtoko tukala tunda?
 
Back
Top Bottom