Mbinu rahisi za kumtokea mkaka

Mbinu rahisi za kumtokea mkaka

Naona unajitengenezea maumivu mwenyewe wanaume ukimpenda mwenyewe ni wasumbufu xana cku akikuliza njoo 2kupe ushauri wa ku2mia pain killer
 
Jifunze interests zake, ukizijua ziown ili muwe karibu.
Be decent na jiamini
Kuwa naye karibu kiprofessional ila ukipata nafasi a joke or two inaweza kumfanya amiss presence yako ukiwa haupo.
Akisha jenga mazoea then punguza ukaribu, atakufuata mwenyewe.

Kaunga! Kaunga! You are cunning like a serpent!
 
jamani kuna mkaka hapa ofisini ananivutia mpaka basi, natamani nimwambie live ila najistukia tena kama ataniona kicheche, nifanyeje nimweke karibu yangu,

Wasukuma wanamsemo! Mbwa mkali haambiwi "KAMATA HUYO" It just picks the scent and does the rest like it was taught by his master!
Im fearing May be the guy has not picked the scent because it is the Mismatch! Dont plunge yourself blindly not knowing whether he gt your attention. It might hurt your feeling and confidence!
Sipendi kuona mdada anaumia kisa kakataliwa na mwanaume! Mnaumiaga sana wanawake!!
Fuata Ushauri wa Kaunga! Sio lazima uwe mrembo kumvutia mwanaume!
The little trick that works like charm is to get into his head! Own his interest! Talk decently! Mshirikishe kusolve some of your problem! Is gonna work like charm baby!!!!
 
mbona unanitisha, so huwa mnasimliana kila kitu?

Sikutishi, hayo si umeyasema mwenyewe?

ndo hapo sasa nikimwagwa ntakaa wapi hii ofisi, na wanaume kwa kusimliana khaaa

Kwa maisha yako ya sasa na baadae, kaa mbali na zinaa, na hasa kazini, usitegemee kuja kuwa na mwisho mzuri.
Hujui kaka wa watu ana mipango gani, na vipaumbele vyake ni vipi, Ingekua wewe uko na rafiki yako then kijana anakubughudhi uwe nae na humpendi hao do you feel?
Na hii tayari ni dalili ya huo mwanzo wa matatizo, kijana wa watu anapiga zake kazi, wewe unapata taabu na kitu ambacho hauna uhakika kama kitafanikiwa au lah. Hicho unachodhani ni upendo ni illusion tu, huenda ukajua baadhi ya mambo ya huyo kaka yasikufurahishe na usitake hata kumsikia.

Fanya kazi yako kwa umakini, utapata mtu wa atakaekupenda kukujali, na hata kama ni huyo kaka vuta subira wakati muafaka utafika na nature itachukua mkondo wake. Mtu asiudharau ujana wako!..
 
Sikutishi, hayo si umeyasema mwenyewe?



Kwa maisha yako ya sasa na baadae, kaa mbali na zinaa, na hasa kazini, usitegemee kuja kuwa na mwisho mzuri.
Hujui kaka wa watu ana mipango gani, na vipaumbele vyake ni vipi, Ingekua wewe uko na rafiki yako then kijana anakubughudhi uwe nae na humpendi hao do you feel?
Na hii tayari ni dalili ya huo mwanzo wa matatizo, kijana wa watu anapiga zake kazi, wewe unapata taabu na kitu ambacho hauna uhakika kama kitafanikiwa au lah. Hicho unachodhani ni upendo ni illusion tu, huenda ukajua baadhi ya mambo ya huyo kaka yasikufurahishe na usitake hata kumsikia.

Fanya kazi yako kwa umakini, utapata mtu wa atakaekupenda kukujali, na hata kama ni huyo kaka vuta subira wakati muafaka utafika na nature itachukua mkondo wake. Mtu asiudharau ujana wako!..

sasa hapo ndo umeongea nini?
 
Inaonekana na wewe umempenda kutimiza haja zako tu...... cha kufanya usivae chupi ukienda kazini..... ukipita aone hivyo vilima viwili vipishana mwenyewe atadata, lazima aseme na wewe...
 
Watu8, inamaana wanawake hawana haki ya kupenda?

Yaani najaribu kuangalia comments za wanawake humu, ndio napata picha kwa nini wanaume wataendelea kumemena wanawake without any resistance...endeleeni kumwaga mawazo yenu ingawa kwa asilimia kubwa mengi si mageni kwangu coz I have been there several times na bado naendelea kupata hizo challenges zenu.
 
jamani kuna mkaka hapa ofisini ananivutia mpaka basi, natamani nimwambie live ila najistukia tena kama ataniona kicheche, nifanyeje nimweke karibu yangu,

Njia kuu ni kuwa karibu nae lakini jitahidi umfaham ni m2 wa aina gani,faham nini anapenda na nini hapendi ili uende nae sambamba.Baada yakumfaham then muweke karibu kwani kwakua nae karibu wala hutohitaji kumwambia hilo mara nyingi mtajikuta mmekua wapenzi.Ila hata kama utakua nae karibu kwa mwanzoni jitahidi sana kushinda hisia zako,ukiwa na papara utavuruga kila ki2,kumbuka tabia za wanaume wengi huwachukulia tofauti wanawake wanapo watongoza,
all da best!
 
Dah hii inanikumbusha siku ile, wenyewe tupo nyt shift na nesi wangu tunaangalia fiesta.
Mara anasinzia ananilalia, mara anaona joto akavua nguo moja.
Dah usinikumbushe nilitegeka
Sikia sister! wanaume wengine sisi tuna msimamo sana, ila dawa yetu ndogo sana......jaribu uone....
 
Jifunze interests zake, ukizijua ziown ili muwe karibu.
Be decent na jiamini
Kuwa naye karibu kiprofessional ila ukipata nafasi a joke or two inaweza kumfanya amiss presence yako ukiwa haupo.
Akisha jenga mazoea then punguza ukaribu, atakufuata mwenyewe.
One of my trics which normally work hata kwa ss wanaume ukitumia hii lazima umpate mwanamke ukiona after all hakufuati basii kausha ukiendelea unatafuta kujiumiza feelings hazipo
 
Jifunze interests zake, ukizijua ziown ili muwe karibu.
Be decent na jiamini
Kuwa naye karibu kiprofessional ila ukipata nafasi a joke or two inaweza kumfanya amiss presence yako ukiwa haupo.
Akisha jenga mazoea then punguza ukaribu, atakufuata mwenyewe.
AANHAHAHHAHAHHAHA!we mbayaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
ila nimekumiss kipenzi!
 
Back
Top Bottom