Mbinu rahisi za kumtokea mkaka

Mbinu rahisi za kumtokea mkaka

I am honored, nashukuru sana kwa ushuhuda wako natumaini itasaidia.
Kila mtu anapenda kubelong au kukubalika; so kama unakubali mtazamo/interests za jamaa basi atakuona rafiki which is a good starting point. Ila asi overdo!

Kuanzia leo Kaunga nimekuheshimu sana, una busara ya juu sana! Mimi ni miongoni mwa wanaume ambao linapokuja suala la kutongoza inatuchukua muda mrefu sana kuonyesha japo dalili tu. Hata hivyo kwa mabinti niliowahi ku- do nao hadi huyu mama Ngina wangu tuliunganishwa na vitu hasa 'hobi' zangu.
Hii tekiniki ya sijue mvalie transparent,chuchu za kusimama etc,utaishia kuonekana huna tofauti na hao mafisi wengine!

Wanaume tunapenda wadada wanaojari mitazamo yetu hata kama ni ya kitoto sana! Huyu binti kaniletea movie ya 'matrix reloaded' sijuhi amejuaje naipenda? Hapo ujue umeanza kubomoa defence ya me!
 
Jifunze interests zake, ukizijua ziown ili muwe karibu.
Be decent na jiamini
Kuwa naye karibu kiprofessional ila ukipata nafasi a joke or two inaweza kumfanya amiss presence yako ukiwa haupo.
Akisha jenga mazoea then punguza ukaribu, atakufuata mwenyewe.




Naunga mkono ushauri wako Kaunga!!!!!!
 
Nakubadiliana nawe, hapo bidada anatakiwa awe smart; akishamfikisha kwenye mapaja yake challenge ni kumkeep. Hata kama ni bazazi hawezi acha vitu adimu!

kaunga, hivi ukisema decent ndo natakiwa niweje vile, mwenzako napenda mitoko balaa, club na shughuli zote zile za vurugu vurugu yaani akili yangu huwa inakuwa relaxed balaa, sio mtu wa kupretend hata sekunde nafanya kitu ninachojisikia, pamoja na ujasiri wangu wote kwa mambo mengine ila ya kumface mwanaume huwa siwezi kabisa na nimekaa mda tu bila mahusiano ndo nimetokea kumpenda huyu kaka, sijui kama ntamapata lol
 
Pretence sio nzuri maana waweza mpata lkn usimkeep. Kuna watu wakushauri umtege kwa mavazi ndio maana nikasema uwe decent. Najua ofisini unakuwa umevaa decent.

Sasa bidada, kama interest ziko tofauti kihivyo itakuweje? Ni nini kilichokuvutia, looks au kwa vile yuko available? Maana umesema ni mtu wa job na home na wewe clubing n loads of fun? Are you ready to compromise a little?
kaunga, hivi ukisema decent ndo natakiwa niweje vile, mwenzako napenda mitoko balaa, club na shughuli zote zile za vurugu vurugu yaani akili yangu huwa inakuwa relaxed balaa, sio mtu wa kupretend hata sekunde nafanya kitu ninachojisikia, pamoja na ujasiri wangu wote kwa mambo mengine ila ya kumface mwanaume huwa siwezi kabisa na nimekaa mda tu bila mahusiano ndo nimetokea kumpenda huyu kaka, sijui kama ntamapata lol
 
Njoo kwangu tu tuyamalize, huwa nawapenda wale wote wasiopendwa na wanaume wengine, mie huwa siangalii sura umbo wala kipato, kikubwa ni kazi
 
Pretence sio nzuri maana waweza mpata lkn usimkeep. Kuna watu wakushauri umtege kwa mavazi ndio maana nikasema uwe decent. Najua ofisini unakuwa umevaa decent.

Sasa bidada, kama interest ziko tofauti kihivyo itakuweje? Ni nini kilichokuvutia, looks au kwa vile yuko available? Maana umesema ni mtu wa job na home na wewe clubing n loads of fun? Are you ready to compromise a little?

ntacompomise tu as long as nampenda, si unajua mamii ukimpenda mtu unajikuta tu unafanya vitu ili usimkwaze
 
ntacompomise tu as long as nampenda, si unajua mamii ukimpenda mtu unajikuta tu unafanya vitu ili usimkwaze

Good then; sasa jifunze interests zake na ujaribu kumfrienden kwanza. Nenda naye taratibu, usioneshe udesperate (utamkimbiza) atajiingiza mwenyewe.
 
Anakuvutia kivipi? unamhitaji kwa ajili yakupitisha muda au unamhitajiili awe mwenza wako? Kama unamhitaji ili mfurahishe nafsi zenu unaweza kumtega na akaingia line lakini ujue ukishalala nae tu jiandae kuteseka kwani atakuona kicheche nae atakuwa anatafuta wa kwake.
 
Ushauri mzuri umepata kutoka kwa wadau kama Kaunga ila kikubwa kinachotakiwa ni kuangalia kama kweli una nafasi kwake maana kiukweli kwa mdada anaweza akajilengesha kwa mwanaume kumbe mwanaume alikuwa hayupo interested na bidada, hofu yangu usije na wewe baada ya mwezi unakuja na uzi mwingine wa wanaume wanaoanzia na herufi sijui Q,X,O,F,S sio wazuri wanakumega alafu wanaingia mitini kumbe ulipenda pale pasipopenda (usikate tamaa but kuwa mwangalifu kwenye approach yako zingatia comment ya Gunda66 pia)
 
Last edited by a moderator:
Anakuvutia kivipi? unamhitaji kwa ajili yakupitisha muda au unamhitajiili awe mwenza wako? Kama unamhitaji ili mfurahishe nafsi zenu unaweza kumtega na akaingia line lakini ujue ukishalala nae tu jiandae kuteseka kwani atakuona kicheche nae atakuwa anatafuta wa kwake.
amenivutia tu dia na tukilandana zaidi awe mwenza wangu wa kuzikana mungu akipenda, natamani kweli mda mfupi tu uliopita amaeniomba pen eti yake imegoma khaa basi nimefurahi
 
Huyo ana girlfriend na girl friend mwenyewe ndiyo mimi! Hebu acha kuharibia watu wahusiano yao loh...


jamani kuna mkaka hapa ofisini ananivutia mpaka basi, natamani nimwambie live ila najistukia tena kama ataniona kicheche, nifanyeje nimweke karibu yangu,
 
U don't need to complicate.....
Muite pembeni, mtizame machoni mwambie unampenda, tena be confident(sio ukakamae sasa)
using'ate kucha mbele ake, utang'ata badae ukiwa mwenyewe....!!!
Wachache sana wanaokataaga teh! omba asiwe mmoja wapo make hizo aibu sijui utaziweka wapi


Evelyne

Kama ni kunivunja mbavu basi leo you did. Hapo kwenye red, mbona sisi tunaomba mchana kweupe bila hata wasiwasi? na ninyi wasiwasi wenu tu, mimi naomba ukinipa sawa, ukikataa sawa naendelea mpaka nipate. NJAA HAINA AIBU
 
cku ukimuona jifany kama unackitika, fanya ivo kama mara 3 na akitaka ajue. Mtoe lunch na mwambie jinc unatexeka xana juu yake kwa upole. Jamaa atakuelewa 2
 
Nauna unajitafutia kifo cha pole pole
hakuna mateso duniani kama mwanamke kumpenda mwanaume asiekupenda,hapo ili umpate inabidi ujigonge kwake yes ataingia laini lakini akishakulamba hiyo k utaishi kwa shida maisha yako yote kwenye hayo mahusiano
wacha kabisa
acha asili ichukue mkondo wake usimtongoze mwanaume kamwe? Kwani umekosa nini? Mihemko tu ya muda hiyo..ooooh moyo mdanganyifu???????

Smile wambie hawa ,pia achana na mapenzi na kazi weka pembeni!!kuliko kumtongoza mwanaume bora iote fungus
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom