Mbinu rahisi za kumtokea mkaka

Mbinu rahisi za kumtokea mkaka

jamani kuna mkaka hapa ofisini ananivutia mpaka basi, natamani nimwambie live ila najistukia tena kama ataniona kicheche, nifanyeje nimweke karibu yangu,
mbona simple tu mwambie shat lako zur hiv mtu anaekupenda akikuambia vaa hilo shat leo na kesho utavaa akisema ndio najua jibu litakua ndio mwambie basi mimi nakwambia vaa

mbinu ya pili leo muangalie uson fanya kama umepigwa na butwaa kama sekunde kumi hivi akikustua we vipiiiii legeza macho mwambie hamna kitu bas hapo ushamaliza utafuatwa fasta
 
Nauna unajitafutia kifo cha pole pole
hakuna mateso duniani kama mwanamke kumpenda mwanaume asiekupenda,hapo ili umpate inabidi ujigonge kwake yes ataingia laini lakini akishakulamba hiyo k utaishi kwa shida maisha yako yote kwenye hayo mahusiano
wacha kabisa
acha asili ichukue mkondo wake usimtongoze mwanaume kamwe? Kwani umekosa nini? Mihemko tu ya muda hiyo..ooooh moyo mdanganyifu???????
Umeongea hoja kuu, wakati mwingine sio lazima kuusikiliza moyo.
 
preta nipe ujuzi kidogo, hawa kaka zetu ukimkodolea macho na kumwelezea vile unavyojisikia kuhusu yeye anakuona kicheche,
Siyo kweli, ilikuwa zamani we kuwa nae karibu tu ukimpatia nafasi mwambie ataelewa. ila uwe pia chaguo lake kama sivyo asipoelekea kukubali usimlazimishe.
 
jamani kuna mkaka hapa ofisini ananivutia mpaka basi, natamani nimwambie live ila najistukia tena kama ataniona kicheche, nifanyeje nimweke karibu yangu,
Mtumie wazee au mshenga na apeleke mahari kabisa
 
jamani kuna mkaka hapa ofisini ananivutia mpaka basi, natamani nimwambie live ila najistukia tena kama ataniona kicheche, nifanyeje nimweke karibu yangu,
Toa Mshiko tukupige tafu,
 
Mpe vizinga mpaka akutongoze....mi ndo nawapataga hivyohivyo! Hiyo ndio mbinu yenu kubwa umesahau.
 
kuwa na namba yake kwanza

pili uwe unachat nae uku unaingiza kuhusu mahusiano

tatu uwe unamuuliza unampenda mwanamke wa aina gani
nne mwambie tu kuwa unataka kuanzisha mahusiano na yeye

hawezi kukataa apo Dada angu
 
Back
Top Bottom