Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,105
- 165,329
Evelyne
[/COLOR]Kama ni kunivunja mbavu basi leo you did. Hapo kwenye red, mbona sisi tunaomba mchana kweupe bila hata wasiwasi? na ninyi wasiwasi wenu tu, mimi naomba ukinipa sawa, ukikataa sawa naendelea mpaka nipate. NJAA HAINA AIBU
Ofisi moja!umempenda kiukweli umejipitisha pitisha tena una hakika ataingia line....
anakucheki tu, ukamwambia unampenda akatae loh!!!
aibu yake haipimiki asikuambie mtu, utatamani uhame ofisi.......