Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,117
- 165,385
ndo hapo sasa nikimwagwa ntakaa wapi hii ofisi, na wanaume kwa kusimliana khaaa
Ila nakushauri, make bado mapema...angalia na hasara za kuwa na uhusiano na mtu unaefanya nae kazi sehemu moja kama huyo, then uamuzi upo mikononi mwako