Mbinu rahisi za kumtokea mkaka

Mbinu rahisi za kumtokea mkaka

U don't need to complicate.....
Muite pembeni, mtizame machoni mwambie unampenda, tena be confident(sio ukakamae sasa)
using'ate kucha mbele ake, utang'ata badae ukiwa mwenyewe....!!!
Wachache sana wanaokataaga teh! omba asiwe mmoja wapo make hizo aibu sijui utaziweka wapi
Hahahahahhaha baada ya mastress ya lile jukwaa letu kule at last I have found comfort
 
... mvalie rohorojo transparent kidogo, then... usimsemeshe..
... vaa braa za kusimamisha tits...
kumbuka wako ofisini haya atayavalia wapi!!!na hii ndo umeshauri iwe first strategy!!!na ofisi si ya wawili tu!!!
 
Njia nyingine ni kumuignore as if haexist; hiyo sio tu itamjengea curiosity lkn atakuona kama challenge ambayo ni kitu wanaume wengi wanapenda

Ukifanyia mabazazi njia hii, atahakikisha kwamba anakumega, then atakuignore pia baada ya hapo...

Njia rahisi ni kuhakikisha kuwa mwanaume anajenga interest kwako...na interest ni kitu cha nje zaidi...ambacho kitaendelea kuwepo hata baada ya kumegana...
 
watu8 hupendi kupendwa jamani, au huwa unajisikiaje mdada akikupenda

Sio kuwa huwa sipendi, binafsi huwa naheshimu hisia za wanawake na wadada maana siku zote huwa real. Na mara zote hupenda mdada anipende kwanza maana mapenzi huwa motomoto
Lakini sasa namna na jinsi ninyi mnavyopenda ni tofauti na sisi...nyie huwa "mnafia" but as for us huwa "tunazimikia".
 
jamani kuna mkaka hapa
ofisini ananivutia mpaka basi, natamani nimwambie live ila najistukia
tena kama ataniona kicheche, nifanyeje nimweke karibu yangu,

binafsi ukiniandikia txt asubuhi kwamba amka kumekucha, saa 4 asubuh ukanambia breakfast njema, then mchana ukani txt ukinitakia lunch njema, jion ukanitakia safar njema ya kutoka job had hom...na usiku ukanitakia usiku mwema....dah umenimaliza nitahisi unanijali sana, wallah lazima mwanaume atajilipua tu, hebu fanya hivyo kwa huyo.
 
... mvalie rohorojo transparent kidogo, then... usimsemeshe..
... vaa braa za kusimamisha tits...

--- Mwalike lunch... don't tell him anything...

-- ukimaliza lunch, baada ya two days mwalike dinner only u two, then mvalie kumuua, then maongezi yakinoga MWAMBIE MKALE TUNDA, utalipia gharama zote na umekuja na condoms paketi 5, yaani za mechi round 15..

... Goodluck..

Du mkuu kumpenda mtu ndo kufikiria kugawa tunda kirahisi namna hiyo? Nadhani akifanya hivyo na yeye atamwona kicheche vibaya mno
 
Pole wangu...
Bado hujamwambia???
Nitume mimi nitamwambia kwa njia salama na sahihi kabisa. Kama wako atakuja na kama sio wako wala haitakuumiza na hutajuta kueleza hisia zake kwako.
 
watu wanasahau, we mbona lilikushinda hili best, kwanza vp ile lovebite ishatoka na umesharudi kwa mkeo

hahahahaha!nsharud best!hiyo hainifanyi nishindwe kushauri mazuri Suprise!pliz,"follow what i preach,not what am doing"
 
uwe unamwangalia deeply usoni bila kucheka wala kutabasam macho huzungumza lazima atajiuliza kwa nini unamwangalia hivyo atataka kujua ni kwanini na somo lakolitaanzia hapo.hii siipendi lakini mkipata muda wa kutazamana jifanye kama umekasahau kapaja kakokanono bahati mbaya akikiona jidai una aibuuuuuuuuuuuuu.

uwiii dah
 
hembu tuambie wasifu wake, upole, age nk

ni mrefu, mtanashati mpole sio mwongeaji kivile, mpaka umwanzishie story na yeye ataendelea hapo,

Hapendi mitoko sana ni yeye na nyumbani kwake tu, aliosoma nao wana umri kati ya 33 hadi 35 na yeye nadhani atakuwa kati ya huo umri,
 
Jifunze interests zake, ukizijua ziown ili muwe karibu.
Be decent na jiamini
Kuwa naye karibu kiprofessional ila ukipata nafasi a joke or two inaweza kumfanya amiss presence yako ukiwa haupo.
Akisha jenga mazoea then punguza ukaribu, atakufuata mwenyewe.

Kuanzia leo Kaunga nimekuheshimu sana, una busara ya juu sana! Mimi ni miongoni mwa wanaume ambao linapokuja suala la kutongoza inatuchukua muda mrefu sana kuonyesha japo dalili tu. Hata hivyo kwa mabinti niliowahi ku- do nao hadi huyu mama Ngina wangu tuliunganishwa na vitu hasa 'hobi' zangu.
Hii tekiniki ya sijue mvalie transparent,chuchu za kusimama etc,utaishia kuonekana huna tofauti na hao mafisi wengine!

Wanaume tunapenda wadada wanaojari mitazamo yetu hata kama ni ya kitoto sana! Huyu binti kaniletea movie ya 'matrix reloaded' sijuhi amejuaje naipenda? Hapo ujue umeanza kubomoa defence ya me!
 
Njia rahisi ni kuhakikisha kuwa mwanaume anajenga interest kwako...na interest ni kitu cha nje zaidi...ambacho kitaendelea kuwepo hata baada ya kumegana...

Nakubadiliana nawe, hapo bidada anatakiwa awe smart; akishamfikisha kwenye mapaja yake challenge ni kumkeep. Hata kama ni bazazi hawezi acha vitu adimu!
 
Nauna unajitafutia kifo cha pole pole
hakuna mateso duniani kama mwanamke kumpenda mwanaume asiekupenda,hapo ili umpate inabidi ujigonge kwake yes ataingia laini lakini akishakulamba hiyo k utaishi kwa shida maisha yako yote kwenye hayo mahusiano
wacha kabisa
acha asili ichukue mkondo wake usimtongoze mwanaume kamwe? Kwani umekosa nini? Mihemko tu ya muda hiyo..ooooh moyo mdanganyifu???????

You couldnt be more correct. There is girl a former classmate, all the time that I've known her she had a boyfriend. Somehow after school akanitafuta, we talked for three days hivi, aka-declare interest zake but I told her my heart was with someone else but she insisted. Akaishia kuja home, kilichofuatia ni SEX.

Over a period of two weeks, we had done it 4 times. Balaa likaja baada ya hapo, personally I feel like there is nothing left between us, it's like we have everything that was there to be done. Ingawa yeye anadai ananipenda kupita kiasi, I dont see myself loving her even in the future.

Lesson:: Kuwa makini na mambo unayofanya na mwanaume during the early days, ndio msingi wa mtazamo wake na hisia zake baadae.
 
una maneno makali best, tuambie basi tumekosea wapi,hatustahili kupenda kweli au hicho kipaji chenu mlichojaaliwa cha kuaproach mtuambukize na sie

Wala si makali, am just tryin to be open...mwenye macho haambiwi tazama best.
Tulichonacho wala si kipaji, ni nature tu imetupendelea....
 
...mie mbona sina bahati hiyo jamani...mtumie tumie sms mbali mbali.mf. Za vichekesho, mapenzi, mtembelee hm..nk.
 
Back
Top Bottom