MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,727
- 37,031
Tayari mmekwisha do?
Kaunga umeua mkuu, ngoja na mimi nijifunze hii mbinuJifunze interests zake, ukizijua ziown ili muwe karibu.
Be decent na jiamini
Kuwa naye karibu kiprofessional ila ukipata nafasi a joke or two inaweza kumfanya amiss presence yako ukiwa haupo.
Akisha jenga mazoea then punguza ukaribu, atakufuata mwenyewe.
Fanya kazi acha mapenzi utafukuzwajamani kuna mkaka hapa ofisini ananivutia mpaka basi, natamani nimwambie live ila najistukia tena kama ataniona kicheche, nifanyeje nimweke karibu yangu,
We jamaa sio mtu mzuri vizuri. Mana hii ni technic hatutak izoeleke. Ni siraha nzito against man. Ili uifichue ilibid huyo mdada pia akutumie picha ujiridhishe walau kwa vigezo vya awali. La sivyo you have tremendously ruined the 'WANTED'Jifunze interests zake, ukizijua ziown ili muwe karibu.
Be decent na jiamini
Kuwa naye karibu kiprofessional ila ukipata nafasi a joke or two inaweza kumfanya amiss presence yako ukiwa haupo.
Akisha jenga mazoea then punguza ukaribu, atakufuata mwenyewe.
Njia nyingine ni kumuignore as if haexist; hiyo sio tu itamjengea curiosity lkn atakuona kama challenge ambayo ni kitu wanaume wengi wanapenda
jamani YO YO mbona unashangaa sana, na sisi tuna hisia kama nyie unajikuta tu umempenda mtu, bila sababu yoyote ile,
sasa tukiwaambia ndo mnatuona vicheche
nenda kwa mganga tuujamani kuna mkaka hapa ofisini ananivutia mpaka basi, natamani nimwambie live ila najistukia tena kama ataniona kicheche, nifanyeje nimweke karibu yangu,
Mmh jamani kumbe ndivyo mnavyotukamata hivyo.!!Kuwa karibu nae, kuwa karibu kunavutaga hisia za watu wawili: Unaweza kuwa naye karibu kwa;-
1) Jifanye unahitaji msaada wa ki-technical hata kama unajua. Hii inategemea na nature ya kazi mnayofanya. Mfano, kama ni wahasibu jifanye kuna report unataka kuivuta kwenye system ila umesahau au hujui path.
2) Jifanye umechoka kula lunch sehemu moja, na unataka kuchange mazingira, like ' where do u go 4 lunch, i wish niku-join maana huko nakoenda kumenichosha'.
3) Fanya utafiti anapenda kuongelea nini, kama siasa, filamu, mpira etc. ili nawe uongelee hilo, hii itatoa starter ya maongezi yenu.
4) Uwe una-smile kila ukimuona (sio sana, si unajua unaweza ku-smile bila kuonyesha meno).
Ukifanya hivyo hapo juu mtajikuta mmekuwa marafiki wa kawaida, sasa kama una vigezo vya mwanamke anayempenda ye mwenyewe ataanza kukutokea, ukiona hasemi kitu, itabidi ujilipue tu ( yaani umwambie face to face kwenye lunch au dinner).
Angalizo: confirm kama policy ya ofisi yenu inaruhusu mapenzi ofisini, usije kumsababishia kijana wa watu matatizo.
Tatizo wasichana wenzako wengi wameharibu hali ya mahusiano. Mwanaume anaweza asiwaze kwamba ina upendo wa kwali bali anataka kichunwa. Hali ilivyo tumeshaogopa. Ila sidhani kama una nia utamkosa.jamani kuna mkaka hapa ofisini ananivutia mpaka basi, natamani nimwambie live ila najistukia tena kama ataniona kicheche, nifanyeje nimweke karibu yangu,
Remember: If you love something, let it go, if it come again you will know that it is yours, if it is not coming, you will know that it was never made to be.jamani kuna mkaka hapa ofisini ananivutia mpaka basi, natamani nimwambie live ila najistukia tena kama ataniona kicheche, nifanyeje nimweke karibu yangu,
jamani kuna mkaka hapa ofisini ananivutia mpaka basi, natamani nimwambie live ila najistukia tena kama ataniona kicheche, nifanyeje nimweke karibu yangu,
jamani kuna mkaka hapa ofisini ananivutia mpaka basi, natamani nimwambie live ila najistukia tena kama ataniona kicheche, nifanyeje nimweke karibu yangu,