Lkn na Marekani hana moral authority ya kumshambulia Mrusi;Mrusi at least ana fight vita professionally kwa mujibu wa International Law e.g. Wakati wa vita hii at least unasikia Mrusi anaruhusu Humanitarian corridors ku-flee civilians waweze ku-escape to safer place.Hebu nambie wakati NATO anapiga syria,Iraq au Libya uliwahi kusikia kitu hicho?NATO alikuwa anajiulia waarabu anavyotaka bila kujali ubinadamu.Sasa Mrusi unamletea Adui Sebuleni unatakiwa afanyeje?kaongea na US na NATO for 10 years wasi-expand eastward lkn wamem-ignore then vita was last resort kwani comedian zelensiky sasa ndio anaona reality ya vita kuwa siyo sinema za hollywood.Tujikumbushe mwaka 1962 wakati Mrusi alipoweka Missile zake CUBA mbona Marekani alikuja juu manowari zake za kivita zikaizunguka Cuba kwa sababu aliona usalama wake upo mashakani kwani Adui Mrusi kaja kuweka kambi sebuleni,Je Cuba haikuwa Nchi huru-A Sovereign State?Kwa nini iwe sawa kwa Ukraine kujiunga NATO na kuwakaribisha NATO lkn haikuwa sawa kwa CUBA kumkaribisha Mrusi? AMERICA NA WEST EUROPE wao na Media zao ni wanafiki watupu. ni kama ambavyo Tanzania hatuwezi kuruhusu adui yetu kuweka kambi Zanzibar,au unafikiri kwa nini tunabembeleza muungano wakati hatuna economiv benefits kihivyo?
MY TAKE;Nasimama na Putin piga hao vibaraka wa wakoloni ili dunia iwe na balance of power