Mbingu zote zitafunguka Russia

fantastic philip

Senior Member
Oct 17, 2015
194
680
Ni mchana wa jua la wastani kwa bongo, Bendera ya Urusi inapepea katika mji wa Kakhovka, ulioko kwenye mkoa wa Kherson nchini Ukraine. Mji huu umeshatekwa na majeshi ya Urusi na hauko kwenye majimbo ya liyojitenga.

Kama sehemu ya mapigo muhimu kwa Ukraine, Mkoa wa Kherson leo unapiga kura ya kujiunga na upande wa jimbo la Donetsk. Kura hiyo inaratibiwa kutokea Kremlin Urusi. Sasa nchi mpya ya Janhuri ya Watu wa Donetsk inazidi kupanuka baada ya juzi miji ya Rozovka, Zaporozhye kupiga kura ya kujiunga na Jamhuri ya Donetsk.

Pigo kubwa zaidi kwa Marekani nikwamba Ujerumani imesitisha misaada yote ya kijeshi kwa Ukraine hii inatokana na kashfa ya Steinmeier. "According to Bild, Germany will reduce the supply of arms to Ukraine and cancel the supply of heavy weapons. Allegedly because of the scandal with Steinmeier, who was not invited to Ukraine".

Pigo la pili kubwa zaidi kwa Marekani, Leo China imezindua combora la masafa ya mbali na mafupi linalofanana na lililozinduliwa na Urusi jana, Kombora hili linaitwa YJ-22 ambalo nalo ni la kipekee ulimwenguni. Washington inaona kwamba haya mapigo ni mipango ya Beijing na Moscow na kwamba huu ni ushindi kwao

Huku Marekani ikipata pigo la kimbinu ikitazama Ukraine imebanwa pabaya zaidi baada ya msjeshi ya Ukraine na mamluki zaidi ya 1000 kunasa katika kiwanda cha Azovstal Steel ambapo Rais Putin alitaka wajisalimishe wakagoma na sasa ameagiza kiwanda kifungwe na asitoke hata nzi tu.

Hatua nyingine mbaya zaidi kwa marekani ni kwamba Jimbo la Donetsk sasa limekombolewa Putini anaendelea kulitanua ukubwa wake kutokea baharini kusini kabisa mwa Ukraine, na jimbo la Luhansk mchakamchaka umeanza leo asubuhi huku ikitarajiwa upinzani kiasi tofauti na ilivyokuwa kule kusini.

Kuonyesha sasa Urusi imeshika mpini, Leo UN kupitia katibu mkuu wake imeomba kukutana na Rais Putin kama jitihadi za kumaliza vita, Ifahamike tangu mgogoro uanze UN haijawahi kufikiria kuitisha kikao, zaidizaidi ilishadadia vikwazo na kusaidia silaha kwa Ukraine, Hatua hii imekuja baada ya Urusi kuanza kusherekea ushindi ndani ya siku 56 tangu oparesheni ianze. Moscow bado hajajibu ombi hilo, imeelekeza nguvu zake katika Oparesheni kwanza.

YN
 
Ni mchana wa jua la wastani kwa bongo, Bendera ya Urusi inapepea katika mji wa Kakhovka, ulioko kwenye mkoa wa Kherson nchini Ukraine. Mji huu umeshatekwa na majeshi ya Urusi na hauko kwenye majimbo ya liyojitenga.

Kama sehemu ya mapigo muhimu kwa Ukraine, Mkoa wa Kherson leo unapiga kura ya kujiunga na upande wa jimbo la Donetsk. Kura hiyo inaratibiwa kutokea Kremlin Urusi. Sasa nchi mpya ya Janhuri ya Watu wa Donetsk inazidi kupanuka baada ya juzi miji ya Rozovka, Zaporozhye kupiga kura ya kujiunga na Jamhuri ya Donetsk.

Pigo kubwa zaidi kwa Marekani nikwamba Ujerumani imesitisha misaada yote ya kijeshi kwa Ukraine hii inatokana na kashfa ya Steinmeier. "According to Bild, Germany will reduce the supply of arms to Ukraine and cancel the supply of heavy weapons. Allegedly because of the scandal with Steinmeier, who was not invited to Ukraine".

Pigo la pili kubwa zaidi kwa Marekani, Leo China imezindua combora la masafa ya mbali na mafupi linalofanana na lililozinduliwa na Urusi jana, Kombora hili linaitwa YJ-22 ambalo nalo ni la kipekee ulimwenguni. Washington inaona kwamba haya mapigo ni mipango ya Beijing na Moscow na kwamba huu ni ushindi kwao

Huku Marekani ikipata pigo la kimbinu ikitazama Ukraine imebanwa pabaya zaidi baada ya msjeshi ya Ukraine na mamluki zaidi ya 1000 kunasa katika kiwanda cha Azovstal Steel ambapo Rais Putin alitaka wajisalimishe wakagoma na sasa ameagiza kiwanda kifungwe na asitoke hata nzi tu.

Hatua nyingine mbaya zaidi kwa marekani ni kwamba Jimbo la Donetsk sasa limekombolewa Putini anaendelea kulitanua ukubwa wake kutokea baharini kusini kabisa mwa Ukraine, na jimbo la Luhansk mchakamchaka umeanza leo asubuhi huku ikitarajiwa upinzani kiasi tofauti na ilivyokuwa kule kusini.

Kuonyesha sasa Urusi imeshika mpini, Leo UN kupitia katibu mkuu wake imeomba kukutana na Rais Putin kama jitihadi za kumaliza vita, Ifahamike tangu mgogoro uanze UN haijawahi kufikiria kuitisha kikao, zaidizaidi ilishadadia vikwazo na kusaidia silaha kwa Ukraine, Hatua hii imekuja baada ya Urusi kuanza kusherekea ushindi ndani ya siku 56 tangu oparesheni ianze. Moscow bado hajajibu ombi hilo, imeelekeza nguvu zake katika Oparesheni kwanza.

YN
Baada ya hili bandiko,jifiche mkuu,kuna LGBQ wa Kiev wanakuja kukupopoa mawe😁
 
Ni mchana wa jua la wastani kwa bongo, Bendera ya Urusi inapepea katika mji wa Kakhovka, ulioko kwenye mkoa wa Kherson nchini Ukraine. Mji huu umeshatekwa na majeshi ya Urusi na hauko kwenye majimbo ya liyojitenga.

Kama sehemu ya mapigo muhimu kwa Ukraine, Mkoa wa Kherson leo unapiga kura ya kujiunga na upande wa jimbo la Donetsk. Kura hiyo inaratibiwa kutokea Kremlin Urusi. Sasa nchi mpya ya Janhuri ya Watu wa Donetsk inazidi kupanuka baada ya juzi miji ya Rozovka, Zaporozhye kupiga kura ya kujiunga na Jamhuri ya Donetsk.

Pigo kubwa zaidi kwa Marekani nikwamba Ujerumani imesitisha misaada yote ya kijeshi kwa Ukraine hii inatokana na kashfa ya Steinmeier. "According to Bild, Germany will reduce the supply of arms to Ukraine and cancel the supply of heavy weapons. Allegedly because of the scandal with Steinmeier, who was not invited to Ukraine".

Pigo la pili kubwa zaidi kwa Marekani, Leo China imezindua combora la masafa ya mbali na mafupi linalofanana na lililozinduliwa na Urusi jana, Kombora hili linaitwa YJ-22 ambalo nalo ni la kipekee ulimwenguni. Washington inaona kwamba haya mapigo ni mipango ya Beijing na Moscow na kwamba huu ni ushindi kwao

Huku Marekani ikipata pigo la kimbinu ikitazama Ukraine imebanwa pabaya zaidi baada ya msjeshi ya Ukraine na mamluki zaidi ya 1000 kunasa katika kiwanda cha Azovstal Steel ambapo Rais Putin alitaka wajisalimishe wakagoma na sasa ameagiza kiwanda kifungwe na asitoke hata nzi tu.

Hatua nyingine mbaya zaidi kwa marekani ni kwamba Jimbo la Donetsk sasa limekombolewa Putini anaendelea kulitanua ukubwa wake kutokea baharini kusini kabisa mwa Ukraine, na jimbo la Luhansk mchakamchaka umeanza leo asubuhi huku ikitarajiwa upinzani kiasi tofauti na ilivyokuwa kule kusini.

Kuonyesha sasa Urusi imeshika mpini, Leo UN kupitia katibu mkuu wake imeomba kukutana na Rais Putin kama jitihadi za kumaliza vita, Ifahamike tangu mgogoro uanze UN haijawahi kufikiria kuitisha kikao, zaidizaidi ilishadadia vikwazo na kusaidia silaha kwa Ukraine, Hatua hii imekuja baada ya Urusi kuanza kusherekea ushindi ndani ya siku 56 tangu oparesheni ianze. Moscow bado hajajibu ombi hilo, imeelekeza nguvu zake katika Oparesheni kwanza.

YN
Umekopy kwenye akaunti ya Yericko Nyerere
 
Mungu ibariki Russia na Rais wake na mipango yake yote ifanikiwe.
Haitafanikiwa hata kidogo na Putin ataondoka tu

Raisi wa Ukraine katamka wazi hawaachii hata sentimita moja ya Ukraine mikononi mwa Urusi

Hiyo vita wenyewe wamejiandaa kupigana muda mrefu minimum Miaka 10 maximum haijulikani

Yaani Urusi ajiamdae kupigana na Ukraine kwa kipindi kirefu mno
 
Haitafanikiwa hata kidogo na Putin ataondoka tu

Raisi wa Ukraine katamka wazi kawaachie hata sentimita moja ya Ukraine mikononi mwa Urusi

Hiyo vita wenyewe wamejiandaa kupigana muda mrefu minimum Miaka 10 maximum haijulikani

Yaani Urusi ajiamdae kupigana na Ukraine kwa kipindi kirefu mno
Nawewe umeamini?
 
Haitafanikiwa hata kidogo na Putin ataondoka tu

Raisi wa Ukraine katamka wazi kawaachie hata sentimita moja ya Ukraine mikononi mwa Urusi

Hiyo vita wenyewe wamejiandaa kupigana muda mrefu minimum Miaka 10 maximum haijulikani

Yaani Urusi ajiamdae kupigana na Ukraine kwa kipindi kirefu mno
Alisikika Mlevi mmoja Akisema Hayo
 
Back
Top Bottom