Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 35,830
- 47,150
Unaweza kuweka chanzo cha hiki ulichoandika ?Taarifa za kiintelijensia zilionyesha kwamba USA anampango wa kupeleka silaha za Nyuklia Ukraine endapo itajiunga, na Ukraine ipo karibu sana kimipaka (mpaka mrefu zaidi) na Russia, hivyo ni hatari kwa usalama wa Russia.
Majibu wanayo wanaotoa misaada.Mimi nauliza kwa case ya Ukraine, marekani anawapemda sana Ukraine? Au anapenda sana haki za binadamu? Sababu ni ipi ya kuwasaidia kwenye hii vita?
