Lihakanga
JF-Expert Member
- Dec 17, 2016
- 4,812
- 6,441
Ukraine ilidanganywa na NATO. Acha aone cha moto. Anayeteseka kisaikolojia ni marekanimnafurahi mtu anavyoangamiza nchi ya wengine
Ukraine ilidanganywa na NATO. Acha aone cha moto. Anayeteseka kisaikolojia ni marekanimnafurahi mtu anavyoangamiza nchi ya wengine
Sasa mbina Ukraine inachakaa?Haitafanikiwa hata kidogo na Putin ataondoka tu
Raisi wa Ukraine katamka wazi kawaachie hata sentimita moja ya Ukraine mikononi mwa Urusi
Hiyo vita wenyewe wamejiandaa kupigana muda mrefu minimum Miaka 10 maximum haijulikani
Yaani Urusi ajiamdae kupigana na Ukraine kwa kipindi kirefu mno
Afanyayo Marekani kwa mataifa mengine ni halali?Sjakuelewa unashangilia Taifa huru kuvamiwa na Taifa jingine kisha watu wake kuuwa, kufanywa wakimbizi, kuharibiwa majumba na miundombinuyao! Ndicho unashangilia? kama ndio hicho basi kuna ujuha mkubwa sana hapo!
Urusi ana haki ya kujilinda dhidi ya hatari ya silaha za nyuklia toka Marekani endapo Ukraine itajiunga na NATO, ila Ukraine akashikilia msimamo wake, Urusi hakuwa na jinsi. Sasa nikuulize, kwanini Marekani anaisaidia Ukraine? Anawapenda sana Raia wa Ukraine? Anapenda sana Sovereignity ya Ukraine? Anapenda sana haki za binadamu? Au sababu ni ipi?!Kwa hiyo Marekani akifanya hayo ndio kunampa Urusi uhalali wa kuiharibu Ukraine ?.....
Kwani huyo Ukraine ameshajiunga NATO mpaka anavamiwa ?..Urusi ana haki ya kujilinda dhidi ya hatari ya silaha za nyuklia dhidi ya Marekani endapo Ukraine itajiunga na NATO, ila Ukraine akashikilia msimamo wake hakuwa na jinsi. Sasa nikuulize, kwanini Marekani anaisaidia Ukraine? Anawapenda sana Raia wa Ukraine? Anapenda sana Sovereignity ya Ukraine? Anapenda sana haki za binadamu? Au sababu ni ipi?!
Upo sahihi mkuuUrusi aitake UN waiamrishe USA na marafiki zake waache kuisaidia Ukraine ndipo na wao waache kuishambulia Ukraine.
Matusi tena weka hoja mkuuHizi claims unazotoa ni za mtu mwendawazimu. Huwezi kusema mimi naua kwa sababu nilimuona Juma anaua. You must be crazy bitch
Lakini tambua russia yupo sawa anatetea masilia ya watu wakeHizi claims unazotoa ni za mtu mwendawazimu. Huwezi kusema mimi naua kwa sababu nilimuona Juma anaua. You must be crazy bitch
Haiwezekani ila ni sababu ndogo sana ila moja ya sababu ya msingi russia kuipiga ukraine, mcheza comedy anapo jaribu kutaka ukraine kujiunga NatoUnaweza kuwaachia mkoa wa Kilimanjaro Kenya?
yaani Kenya aje kudai Kilimanjaro ni yake utakubali?
Ujue kila kitu kina price yake, unafikiri russia hakujua hayo yatatokeaUnafahamu kiwango cha fedha za Urusi na oligarchs wake ambazo tayari zimepigwa pini na zinashikiliwa na Marekani na washirika wake?
Washasema hizo ndo zitatumika kufidia Ukraine.
Ujue kila kitu kina price yake, unafikiri russia hakujua hayo yatatokeaUnafahamu kiwango cha fedha za Urusi na oligarchs wake ambazo tayari zimepigwa pini na zinashikiliwa na Marekani na washirika wake?
Washasema hizo ndo zitatumika kufidia Ukraine.
Kwenye ardhi ipi? anapamba indirect kwenye ardhi ya ukraine we unafikili bila Nato ukraine ingechukua round kupigwa, misaada kutoka Nato ndo inaongeza mgogoroKwanini asipambane na hao NATO Sasa kama ni kitisho kwake ?
Huo mgogoro ulitatuliwa kwa US kuvamia Cuba ?
Wanaokufa vitani ni askari wa Ukraine (Sio NATO) halafu unasema NATO ndio anapambana indirect..Kwenye ardhi ipi? anapamba indirect kwenye ardhi ya ukraine we unafikili bila Nato ukraine ingechukua round kupigwa, misaada kutoka Nato ndo inaongeza mgogoro
Silaha wanazo tumia ukraine zinatoka NatoWanaokufa vitani ni askari wa Ukraine (Sio NATO) halafu unasema NATO ndio anapambana indirect..
Hata Urusi ni vyema angepambana na NATO indirect.
Ukrane inatumika kama ardhi ya kupigania vita tuWanaokufa vitani ni askari wa Ukraine (Sio NATO) halafu unasema NATO ndio anapambana indirect..
Hata Urusi ni vyema angepambana na NATO indirect.
NATO watapata hasara ya nini Ukraine wakishindwa ?..Silaha wanazo tumia ukraine zinatoka Nato
So wakishindwa ukraine hasara wamepata Nato hiyo ni indirect yenyewe wanajeshi wa ukrane wapo katikati ya Nato na russia
Inatumika tu au imevamiwa na Urusi ?Ukrane inatumika kama ardhi ya kupigania vita tu
Sasa salaha zinatengenezwa na kusafirisha bure tumia akili kabla haujauliza swaliNATO watapata hasara ya nini Ukraine wakishindwa ?..