Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,705
- 36,157
Hi gentlemen and ladies!
Hapo chini kuna video ya viongozi wa dini waliokusanywa na viongozi wa serikali kwenda kukemea ajali huko Inyala Mbeya.
Hapo serikali ambayo inakusanya kodi ilipaswa kupanua barabara, kuondoa vichocheo vya ajali na kuweka alama muhimu za barabarani.
Ina maana wataalamu wa ndani wameshindwa kuainisha vyanzo vya ajali Inyala Mbeya?
Je, tumeshindwa kukodi wataalamu wa nje pia kama hawa wa ndani wameshindwa?
Tanzania, Tanzania where are you?
Hapo chini kuna video ya viongozi wa dini waliokusanywa na viongozi wa serikali kwenda kukemea ajali huko Inyala Mbeya.
Hapo serikali ambayo inakusanya kodi ilipaswa kupanua barabara, kuondoa vichocheo vya ajali na kuweka alama muhimu za barabarani.
Ina maana wataalamu wa ndani wameshindwa kuainisha vyanzo vya ajali Inyala Mbeya?
Je, tumeshindwa kukodi wataalamu wa nje pia kama hawa wa ndani wameshindwa?
Tanzania, Tanzania where are you?