Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,729
- 528
- Thread starter
- #61
Mheshimiwa NL,
CCM ni nambari wani,
CCM watalirudisha hili Jimbo, penda usipende.
Tumuombe Muumba ili uone kwa macho yako na usikie kwa masikio yako.
Stay blessed.
Zilezile kauli za vitisho na ubabe. Sasa kama ni hivyo kuna haja gani ya uchaguzi. Sasa Wana Mbeya wakiamua kuigomea CCM kama Tarime hiyo penda usipende matokeo yake yatakuwaje? Vurugu, Polisi na virungu au kucheza na matokeo?
Watch your words, tusonge mbele tusirudi tulikotoka.