Mbeya vijijini: Kampeni, uchaguzi na yatokanayo

Like president like minister. Kumbe Ngeleja ni kilaza kiasi hicho? Si ndiyo huyu Ngeleja alikuwa kwenye kampeni za uchaguzi Tarime wakati nchi inakabiliwa na tatizo la mgawo wa umeme?
 
Tunaweza kumukumu Ngleja(na CCM?) Kwa makosa mawili kutokana na kauli yake kwenye msimba:
1. Amerudua kosa lilelie waliofanya kina Mtikila, NCCR na CCM kule Tarime: Kutumia msiba kwa maslahi ya kisiasa

2. Kauli yake hii ni uchochezi: amehatarisha maisha ya wabunge wa CCM, ni kama vile amewaambia wananchi kuwa kinachowetenganisha wao na huduma za kijamii(umeme,maji barabara n.k) ni UHAI wa wabunge wao. Ya kwamba wakiweza kutatua "tatizo"la uhai wa wabunge wao basi kitaeleweka katika majimbo yao. Hii ni kauli kali mno iliyojaa damu na matusi kwa Marehemu Nyaulwa ni sawa na kusema uhai wake ulikuwa ni kikwazo kwa Mbeya vijijini kupelekewa umeme! Ukijumlisha na kutoa utajua Ngeleja alikuwa anawaambia wananchi wachukukue hatua gani ili wapate umeme katika majimbo yao? ameweka rehani maisha ya wabunge wa CCM wote!
 
Mungu baba ninakuomba umchukue mbunge wa jimbo langu ili na sisi tukapata umeme, amina
 
Nasikia JK na Marehemu Nyaulawa ni washikaji sana...mm ila mbona kila mtu ni mshikaji saana na JK?niliwahi sikia alimpendekeza jamaa awe PM....ila sababu ikawa biashara na siasa...sijui ukweli wapi.
 
mazishi yanageuzwa mtaji wa kisiasa alwayz na CCM!!!

Muda umefika wananchi kuamka na kutenda baada ya kuchoshwa!
 
Mkuu Ladslaus,kile kijiji mlichopopolewa mawe kipo mbeya vijijini au chunya? angalieni umeme mtapeleka na kura hampati vilevile.
 
Hatuna Makokoro ya kuvulia na soko la kuuzia samaki hapa mwaloni, Hivi brother Magufuli Mbunge wetu akifariki si mtatujengea............. nijibu mheshimiwa waziri ili tuone namna ya kutekeleza hili
 
'Tutaleta Umeme kwenye jimbo hili ili kumuenzi Mhe. Nyaulawa'!!!!!! Haya ni matusi makubwa kwa wananchi wa Jimbo la Mbeya Vijijini. hivi si haki yao kupelekewa umeme? ni favour? kumuenzi Mhe. Nyaulawa kwani wananchi hawatalipia huo umeme. shame to the minister. wananchi wana haki ya kupelekewa umeme hata kama Mhe. nyaulawa asingekufa, vinginevyo mhe. Ngeleja hujui majukumu yako. RESIGN
 
Nashindwa kupata picha ikiwa kiongozi mkuu wa kitaifa akifariki Watanzania wote tutaletewa Umeme ili kumuenzi kiongozi huyo? Shame to Ngeleja, shame to the government, shame to bogus politician
 
Ukweli unabakia kuwa Mh.Raisi na Marehemu walikuwa marafiki sana toka enzi za chuo kikuu.Kwahiyo hakuna tatizo lolote kwa Raisi kushiriki msiba wa mtu aliyemshiba kwa kiasi hicho.Hii naona kama siyo tatizo labda tuseme lingine!
 
Afanye lipi liwapendeze? Kapeleka watuhumiwa wa EPA mahakamani imeonekana ni geresha; kaenda kuhudhuria msiba wa Mbunge tena rafiki yake inaonekana kaanza kampeni; AFANYEJE RAIS WETU?
 
Afanye lipi liwapendeze? Kapeleka watuhumiwa wa EPA mahakamani imeonekana ni geresha; kaenda kuhudhuria msiba wa Mbunge tena rafiki yake inaonekana kaanza kampeni; AFANYEJE RAIS WETU?

Ajiuzulu?labda?
 
HAPANA Mama. Yeye hayuko kama EL aliyesema wakati anaachia ngazi kwamba shida ya wanaomwandama ni UWAZIRI MKUU!


sasa huyu nae mbona anaandamwa hivyo, umesema pale hakuna jema (mi nikawaza labda amekuwa news headline maker na sio rais?) analolifanya, what is the soln?
 
sasa huyu nae mbona anaandamwa hivyo, umesema pale hakuna jema (mi nikawaza labda amekuwa news headline maker na sio rais?) analolifanya, what is the soln?

Mama,
Ninachokiona kwa baadhi ya wanaomwandama ni WIVU, wengine wana "Marais" wao tangu ile 2005!, ukiwauliza kashindwa lipi kama Rais wanakupa porojo tu.
 
Mama,
Ninachokiona kwa baadhi ya wanaomwandama ni WIVU, wengine wana "Marais" wao tangu ile 2005!, ukiwauliza kashindwa lipi kama Rais wanakupa porojo tu.


Du! kweli tuna safari ndefu, kwa comments za namna hii! nani amuonee wivu huyu empty suit?
 
maombi yangu mungu ameyasikia kwani nimepata taarifa kwamba Mbunge wa jimbo langu anaumwa sana na muda wowote atakata roho, hivyo na sisi jimboni kwetu tutapata umeme kama jimbo la mbeya vijijini.
 
Back
Top Bottom