Malunde-Malundi
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 1,288
- 130
Mbona wewe hauhitaji chakula cha msaada? Imekuwaje ukaweza kula milo zaidi ya mmoja kwa siku?
Ilongo; du ni kweli kabisa umenipa somo zuri enzi zile za utaratibu wa kisheria na hatima ya Chadema; na ulivyo-spot ndivyo tume ilivyoamua; lakini unanipa wasi wasi kama swala la kupanuka kwa pengo kati ya maskini wengi na matajiri wengi hulijui; huenda labda hujafika Tanzania kwa kipindi; hali iko hivyo; ila cha msingi hayo mambo na mengineyo kama vile ufisadi (umeenea mno sasa), kutokujali na kusikilizwa kundi kubwa la maskini; wanasiasa kuegemea Mjini tu na kuwasahau wapi kura wao ni mambo ambayo sasa Chifu kayaona; hakika kama sisi tuna malengo mazuri na nchi yetu; watu hawa tungeanza kuwachagiza sasa ili kupata hatimaye timu inayoweza kudai haki yake pale ilipopotea(iwe kwa makusudi au kwa sheria zisizokidhi haja ya wengi ya mkoloni). Nafikiri kumkatisha tamaa huyu chifu kweli sidhani kama tunamtendea haki; kuna vikongwe hata US wakati wa uchaguzi walijitokeza wazi kummunga mkono Barack (mkumbuke bibi aliyemtaja obana siku ya kukubali); hizi huwa tunu ktk jamii; maana naona tatizo lako ni Uchifu; mie tatizo langu ni kule kuanza kuona umhimu wa kudai haki panapotakiwa