Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,953
- 93,684
Kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mdude Nyagali, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mbeya, kujibu shtaka linalomkabili ya uhujumu uchumi baada ya kukutwa na gramu 23.4 za dawa za kulevya aina ya Heroine.
Pia soma:
1). Dar, Kinondoni: Yaliyojiri Mkutano wa CHADEMA na Wanahabari, Mdude Nyagali awadai Polisi fidia ya Mil 500 - JamiiForums
2). Mdude Nyagali: Mnanunua ndege kwa pesa taslimu halafu mnaenda kukopa dawa za binadam Bohari Kuu. Tukiwambia mnavuta bangi bila malengo mnalalamika - JamiiForums
3). Mdude Nyagali kufungua kesi mahakamani kwa hati ya dharura kuhusu pesa za wahanga tetemeko Kagera - JamiiForums
4). John Mnyika: Watu wenye silaha wamemchukua Mwanachama wa CHADEMA, Mdude Nyagali (Mdude CHADEMA) - JamiiForums
5). Mbeya: Mdude Nyagali apatikana akiwa hai baada ya kupotea kwa siku 4 - JamiiForums
6). Mdude Nyagali na lugha yake ya kiukosoaji katika mitandao ya kijamii - JamiiForums
Bora akae magereza kuliko angepotezwa