nimeshangaa sana. amedakishwa kisenge sana. attacker unatakiwa kuwa macho muda wote usimuamini yeyoteunajiita kamanda halafu unaponzwa na demu anakuonga 1.7 na wewe unajaa k'fala ?
aya sasa ngoja tuone makamanda wenzao watatoa msaada gani pimbi wewe
ona kina Polepole na Kabudi wanavyojiropokea hivyo,sio kwamba wanapendaAwamu hii ukiwa mkosoaji hata iwe kwa nia njema haijalishi wewe jiandae kwa lolote kati ya haya
upotee, ukongolewe viungo vyote ubakiwe na ukilema wa maisha, upatiwe kesi isiyo ma dhamana ili usote ndani miaka nenda rudi..
Narudia tena mtangulizeni Mungu mbele..hii vita ni kali saana....mniombee!!!
.
Usicheze na pesa hata wewe unakamatika. Kumbuka Mdude hata kilo 5 kwa mwezi hashiki sembuse 1M? Huyu dogo ni mjinga kama Bashite tu tofauti yao ni vyama vyao tu.nimeshangaa sana. amedakishwa kisenge sana. attacker unatakiwa kuwa macho muda wote usimuamini yeyote
Pole yake lakini kiuhalisia huyu jamaa Hana ustalabu .Huwezi kukosoa viongozi was ngazi za juu kwa matusi na kuwazalilisha.Uanaharakati ufanyiwe kwa kukosoa kwa hoja.Namfam vizuri huyu jamaa Hana maadili.Mhimu anatakiwa ajifunze ajenge hoja vizuri akifanya hivo kisiasa atafika mbali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Eeh wasicheze tu na makalio yake aaminTragedy! Mungu amfanyie wepesi huko magereza!
Mbinu gani?
Scroll juu utaona huko wadau wameielezea!!inshort walimtumia mwanamke ambaye alianzisha mauhisano na mdudeMbinu gani?
Duh! Ngoja nipitie. Yani wametumia nguvu zote hizo?!Scroll juu utaona huko wadau wameielezea!!inshort walimtumia mwanamke ambaye alianzisha mauhisano na mdude
Sent using Jamii Forums mobile app
Jee ilekesi ya uamsho siiko mahamani mbona mpaka Leo ushahidi umewashinda?? Unapojifanya kutetea kitu kua naakili mda mwengine usitetee kila jambo kwa sababu unataka buku 7Uhakika gani unaotaka, polisi unaona hawana ushahidi paka kesi imefika mahakamani?
Kamwe usifuate Mkumbo kukosoa serekali... Hii ni africa....
wanataka wamuue kisa "urais" hahahaEti wameambiana kuwa wamuue halafu waseme ni corona gerezani
Kama aliuwawa Akwillina msichana wa watu ili wabambikiwe viongozi wa Chadema watashindwa kumuua Mdudewanataka wamuue kisa "urais" hahaha
View attachment 1449874