Mbeya: Mpaluka Nyagali Mdude akamatwa na Heroine, apandishwa kizimbani akikabiliwa na mashtaka ya Uhujumu Uchumi

unajiita kamanda halafu unaponzwa na demu anakuonga 1.7 na wewe unajaa k'fala ?

aya sasa ngoja tuone makamanda wenzao watatoa msaada gani pimbi wewe
 
unajiita kamanda halafu unaponzwa na demu anakuonga 1.7 na wewe unajaa k'fala ?

aya sasa ngoja tuone makamanda wenzao watatoa msaada gani pimbi wewe
nimeshangaa sana. amedakishwa kisenge sana. attacker unatakiwa kuwa macho muda wote usimuamini yeyote
 
Awamu hii ukiwa mkosoaji hata iwe kwa nia njema haijalishi wewe jiandae kwa lolote kati ya haya
upotee, ukongolewe viungo vyote ubakiwe na ukilema wa maisha, upatiwe kesi isiyo ma dhamana ili usote ndani miaka nenda rudi..

Narudia tena mtangulizeni Mungu mbele..hii vita ni kali saana....mniombee!!!
.
ona kina Polepole na Kabudi wanavyojiropokea hivyo,sio kwamba wanapenda
 
nimeshangaa sana. amedakishwa kisenge sana. attacker unatakiwa kuwa macho muda wote usimuamini yeyote
Usicheze na pesa hata wewe unakamatika. Kumbuka Mdude hata kilo 5 kwa mwezi hashiki sembuse 1M? Huyu dogo ni mjinga kama Bashite tu tofauti yao ni vyama vyao tu.
 
Silly! Tundu lissu alijenga hoja ila bado mlitaka kumuua, kuua ni tabia yenu, mnataka mbaki pekeenu tanganyika!?
Pole yake lakini kiuhalisia huyu jamaa Hana ustalabu .Huwezi kukosoa viongozi was ngazi za juu kwa matusi na kuwazalilisha.Uanaharakati ufanyiwe kwa kukosoa kwa hoja.Namfam vizuri huyu jamaa Hana maadili.Mhimu anatakiwa ajifunze ajenge hoja vizuri akifanya hivo kisiasa atafika mbali.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hii ndo uhujumu uchumi? Wamemkamata kama teja! Maongezi yake hapo ndo yanaonyesha hivyo. Na hicho ni kiasi kidogo hivyo huyo siyo kingpin. Uhujumu uchumi?🤦🏾‍♂️
 
Eti wameambiana kuwa wamuue halafu waseme ni corona gerezani
wanataka wamuue kisa "urais" hahaha
Untitled.jpg
 
Back
Top Bottom