kwahiyo unashauri afunguliwe mshitakaa ya aina ngani?Unazijua gram 24?Hiyo ni pafu moja kwa sisi watumiaji!Kwa kiwango hicho ni wazi huyo mtu ni mtumiaji na si muuzaji!Huwezi kuwa muuzaji halafu ukakaa na gram 24!So huyo ni muathirika na hununua ili atumie,ni ajabu muathirika unamfungulia kesi ya uhujumu uchumi!What a shame!Ukiwa na akili isiyopelekeshwa na mahaba ya kisiasa utanielewa!