Mbeya: Jiji au Kijiji kikubwa?

Mbeya: Jiji au Kijiji kikubwa?

Mfikemo bogus kabisa,chipsi yai utakula na tomato tu,mishkaki mikavuu,supu kongoro wanakuletea fupa zima imepoa,ndizi hamna wakanipa chapati yaani wiki nilikaa pale nilijuta.ila ukipata mwenyeji carnival kule mwanjelwa kuna misosi heavy.
Niliwahi kuingia hadi jikoni hapo Mfikemo, nilichoka ndo nikahama siku hiyo hiyo. Kuna mgahawa nafikiri wa mama wa asili ya Kaskazini ulikuwa kwenye kighorofa Fulani karibu na kituo cha mafuta pembeni ya Millenium Plaza, nilikuwa Napata hapo supu ya kuku tamu sana na lunch, halafu naunga hadi kesho maana usiku hakukuwa na huduma hapo.
 
Mbeya mlipendelewa sana kuitwa jiji. Yaani hivyo virestaurant sasa. Unachoka mwenyewe. Mbeya hamna hata sehemu ya kuangalia movie. Jiji halina supermarket!!!!!
Dah angalau sasa umeanza kuja taratibu. Kwa taarifa yako Mbeya ilikuwa na sehemu za kuangalia movie kama Avalon wakati ule Dar. Unajua zote hizo zilikufa for obvious reasons. Wakati ule ni mikoa michache sana ilikuwa na sehemu hizo. Hizi modern movie theatres ni kitu kingine kwa sasa.
Mbeya vipo vi supermarket vingi tu. Tatizo hujatembea na mwenyeji wako ndiyo hivyo tena. Restaurant ipi unataka? Kuna Hotels nyingi tu na zina restaurant. Tatizo ni mwenyeji wako.
 
Ujatembea mbeya iyo ni nyumba Mona wapo
mbeya_designersofficial_6___BvewvNiAzlE___.jpeg
 
Dah angalau sasa umeanza kuja taratibu. Kwa taarifa yako Mbeya ilikuwa na sehemu za kuangalia movie kama Avalon wakati ule Dar. Unajua zote hizo zilikufa for obvious reasons. Wakati ule ni mikoa michache sana ilikuwa na sehemu hizo. Hizi modern movie theatres ni kitu kingine kwa sasa.
Mbeya vipo vi supermarket vingi tu. Tatizo hujatembea na mwenyeji wako ndiyo hivyo tena. Restaurant ipi unataka? Kuna Hotels nyingi tu na zina restaurant. Tatizo ni mwenyeji wako.
Ni kazi ngumu sana kupingana na ukweli. Mbeya nikilinganisha na sehemu nyingine bado sana mkuu. Lakini kinachowaponza ni vile kuitwa jiji. Kwahiyo mtu akifika anataraji kuona sura ya Arusha au Mwanza. Hiyo ndiyo shida. Mliwahi sana kuitwa jiji
 
watu wa mbeya wanafanana na mji wao that's all.
 
Mbeya the green city!!! ILA kama wanefanya project kubwa ya kuipitisha pembeni ile barabara kuu ya TAZAM ingependeza zaidi na ingesaidia mno kuondoa ule msongamano mbaya wa magari,maana magari yote hasa makubwa yanayoelekea Tunduma yasingelazimika kupita kati kati ya jiji,in short Mbeya kuwa jiji bado sana.
 
Ni kweli kwa upande wa chakula mahotelini huko Mbeya, bado sana. Nilikaa Apple Line Hotel na baadae Mfikemo Hotel, nilikuwa nakosa chakula kabisa. Ukiandaliwa chakula unashindwa kujua kama ndicho ulichokiagiza. Afadhali kidogo nilipohamia Peter Safari hapo unapata chakula kizuri
Nilichokiona wengi mmezoea mkienda mahotelini mnakutana na vyakula vilivyokaa kwenye freezer siku kibao na vingine vya makopo, sasa Mbeya mnapewa chakula very fresh from shambani mnaona sio kizuri, watanzania tunakwama wapi aiseeee
 
Huo mji una wenyeji wengi. Kuna uhitaji mdogo wa sehemu za biashara ya chakula. Watu wanaenda kazini na poti zao za maparachichi.
 
Ni kazi ngumu sana kupingana na ukweli. Mbeya nikilinganisha na sehemu nyingine bado sana mkuu. Lakini kinachowaponza ni vile kuitwa jiji. Kwahiyo mtu akifika anataraji kuona sura ya Arusha au Mwanza. Hiyo ndiyo shida. Mliwahi sana kuitwa jiji
Muhimu tuondoe personal feelings. Kuna vigezo au check list ya items ambayo inafanya sehemu iwe na sifa ya kuwa Jiji. Kikubwa ni kukidhi hivyo vigezo. Na usisahau hadhi ya Jiji yaweza kuondolewa kama vigezo vimetoweka.
Unatoa mfano wa Arusha. Probably ni kwenu. Lakini kuna mtu alitoa uzi humu kuonyesha disappointment yake kwa Arusha kuwa Jiji! Lakini inakidhi vigezo!
Labda uanze ku doubt hivyo vigezo u suggest vyako!
 
Nilichokiona wengi mmezoea mkienda mahotelini mnakutana na vyakula vilivyokaa kwenye freezer siku kibao na vingine vya makopo, sasa Mbeya mnapewa chakula very fresh from shambani mnaona sio kizuri, watanzania tunakwama wapi aiseeee
Si kweli! Nimekulia kijijini na hata sasa ninavyoishi karibia kila kitu Napata fresh kutoka vijijini huko
 
Wewe utakuwa umeishia Chunya, vijiji vile vya Mtanila, maeneo ya Lupa tinga tinga.
Lupatingatinga,mafyeko,Bitimanyanga,Lwalaje,hadi kampikatoto hahahaa umenikumbusha mbali sana bila kusahau makongorosi.Maisha ni safari.
 
Hahahaa yaani ulinganishe kwetu na kijijini???????

Una matatizo wewe..SI ajabu we msafwa maana ndo mazezeta ya mbeya hayo
Wasafwa ndio wenye Mbeya jiji wenyewe.Hata hata hilo jina "Mbeya" ni kisafwa ikimaanisha chumvi yaani "mbeye" kwa kisafwa.Na ndio matajiri wazawa wa Mbeya ukiwatoa "wakinga" ambao ndio wameshikilia uchumi wa mbeya.Huwa nashangaa ikitajwa mbeya wanatajwa "wanyakyusa".!!!
WENYEJI WA MBEYA MJINI NI WASAFWA.
 
Wasafwa ndio wenye Mbeya jiji wenyewe.Hata hata hilo jina "Mbeya" ni kisafwa ikimaanisha chumvi yaani "mbeye" kwa kisafwa.Na ndio matajiri wazawa wa Mbeya ukiwatoa "wakinga" ambao ndio wameshikilia uchumi wa mbeya.Huwa nashangaa ikitajwa mbeya wanatajwa "wanyakyusa".!!!
WENYEJI WA MBEYA MJINI NI WASAFWA.
hahaha hakuna msafwa tajiri zaid za shitambala na sijabaje
 
Back
Top Bottom