monopoly inc
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 5,245
- 11,428
Utakuw hujaelewa nilie mjibu HVO mkuuWanajadili mbeya wanamtaja mnyakyusa!!!sijui wanajichanganya wanamaanisha Rungwe au kyela!!!!!
Utakuw hujaelewa nilie mjibu HVO mkuuWanajadili mbeya wanamtaja mnyakyusa!!!sijui wanajichanganya wanamaanisha Rungwe au kyela!!!!!
Hata mimi sio mwenyeji wa Mbeya nimekaa Mbeya kabla hawajaigawa tokea miaka ya 90 hadi mbeya imekuwa jiji.Nimefanya biashara hapo mbeya kuanzia mitumba hapo docks(mwanjelwa) hadi Tunduma.Na nilikuwa kwenye jumuiya ya wafanyabiashara.Naijua mbeya na wilaya zake zote nimefika.Kote huko nimekanyaga hunidanganyi kuhusu Mbeya na Songwe.hahaha m sio mnyaki,msafwa wala mkinga ila nmekaa sana mbeya miaka zaid ya 7 narudia tena hakuna msafwa tajiri hapo mbeya
Afu hiyo tunduma ni songwe sio mbeya
Mjini kbs mzee baba
"Nakuelewa" umemaliza hapa jins unavokuelewa ww rock city kuna wanaokuelewa hvohivo mbeyaMwanza kote tu mie nakuelewa
Ulitakiwa uweke kwanza vigezo vya kijiji na jiji, halafu ndio useme uliyosema.Nimefika Mbeya nimechoka mwenyewe. Nyumba nyingi siyo nzuri. Chakula kwenye migahawa usiseme. Yaani hamna kitu kwa kweli. Kazi ya ziada inahitajika. Bado saaana
design ya pov"Nakuelewa" umemaliza hapa jins unavokuelewa ww rock city kuna wanaokuelewa hvohivo mbeya
Upo sahihi mkuu but nakwambia mi nafanya business mpaka Leo huko na narudia tena hakuna msafwa tajiri zaid ya shitambala na sijabaje kwa mbeya jiji maybe tunduma wapo wachacheHata mimi sio mwenyeji wa Mbeya nimekaa Mbeya kabla hawajaigawa tokea miaka ya 90 hadi mbeya imekuwa jiji.Nimefanya biashara hapo mbeya kuanzia mitumba hapo docks(mwanjelwa) hadi Tunduma.Na nilikuwa kwenye jumuiya ya wafanyabiashara.Naijua mbeya na wilaya zake zote nimefika.Kote huko nimekanyaga hunidanganyi kuhusu Mbeya na Songwe.
.Sijui..mm mwnyew mgeniMjini kwa mbeya mi wap?
Hahaha no opinion tu even m mbeya na Arusha sjawahi pendezwa nazo sjui kwa vle nmekuzoea sanadesign ya pov
Hata mimi nashangaa.Huwa nikikutana na Wanyakyusa huwa nawatania nawaambia mbeya sio ya wanyakyusa.Wanajadili mbeya wanamtaja mnyakyusa!!!sijui wanajichanganya wanamaanisha Rungwe au kyela!!!!!
Hio inatokana na wasafwa kuzubaa na kuukimbia mji yaan wao kaz kubwa kunywa ulanzi kusukuma mikokoteni na kugonga maweHata mimi nashangaa.Huwa nikikutana na Wanyakyusa huwa nawatania nawaambia mbeya sio ya wanyakyusa.
Hahahahaa Wasafwa watu wa kazi wanyakyusa ni wavivu angalau wanawake ndio wanaojituma.Ila nina wasiwasi na uraia wako inawezekana una asili ya kyela au rungwe.Maana umeamua kuwasimanga wenye mji "wasafwa"!! Daah.Hio inatokana na wasafwa kuzubaa na kuukimbia mji yaan wao kaz kubwa kunywa ulanzi kusukuma mikokoteni na kugonga mawe
Mkuu kuna msafwa mwingine tajiri anaitwa Sauli ana mabasi yake Sauli Express ambayo ndo the most luxurious buses kwa sasa yanayofanya safari za Dar Mbeya
Arusha inafaa kuwa mji sio jijiArusha nayo ni tamu sana
Hahaha hapana mkuu stokei huko but ukifka sehem kama mgen lazma ujifunze haraka kulko wenyeji so nlishawasoma hawa watuHahahahaa Wasafwa watu wa kazi wanyakyusa ni wavivu angalau wanawake ndio wanaojituma.Ila nina wasiwasi na uraia wako inawezekana una asili ya kyela au rungwe.Maana umeamua kuwasimanga wenye mji "wasafwa"!! Daah.
Hio inatokana na wasafwa kuzubaa na kuukimbia mji yaan wao kaz kubwa kunywa ulanzi kusukuma mikokoteni na kugonga mawe
hahaha mkuu sijawahi tukana MTU hapa Jf kama nmekukwaza msafwa bas bana ila huo n ukweliNmekuona pale juu acha kutukana wasafwa husikii[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41],this is last warning,ukirudia tutakusahau humu jukwaani!
Kwa hapo nakubaliana na wewe wasafwa ndo wenye mji wa Mbeya lakini wengi wamekimbilia kuishi milimani huko hasa Chunya huko ndo wako wengi hadi imewafanya wajulikane kama asili yao ni Chunya