Iringa rocks town a.k.a Bangkok oyooooooo.Kama suburb flani hivi ya Ulaya.Enzi za turn cut almasi.Almasi inachimbwa mwadui inakuja kusafishwa Iringa.Iringa mjini kuzur kuzidi mbeya...
Hahahaa yaani ulinganishe kwetu na kijijini???????
Una matatizo wewe..SI ajabu we msafwa maana ndo mazezeta ya mbeya hayo
Nenda Tunduma ukimtoa mkinga nani wafanyabiashara wakubwa wengine wazawa au hata hapo mbeya mjini.Wewe itakuwa ni mnyakyusa jiwe limekupata hahahaa.Wasafwa ni wachapa kazi sana."Zimbombo"hahaha hakuna msafwa tajiri zaid za shitambala na sijabaje
Ndioa maana mkoa wa Katavi kuna wilaya inaitwa TanganyikaKuna maeneo mengine bado ni Tanganyika
Umefikia wapi nije nikuhamishe nikupeleke sehemu safi kabisa afu ulete mrejesho.Nimefika Mbeya nimechoka mwenyewe. Nyumba nyingi siyo nzuri. Chakula kwenye migahawa usiseme. Yaani hamna kitu kwa kweli. Kazi ya ziada inahitajika. Bado saaana
Hii nyumba haipo Sai kweli!?Tena ya yule jamaa George town.Ujatembea mbeya iyo ni nyumba Mona wapo View attachment 1105449
hahaha m sio mnyaki,msafwa wala mkinga ila nmekaa sana mbeya miaka zaid ya 7 narudia tena hakuna msafwa tajiri hapo mbeyaN
Nenda Tunduma ukimtoa mkinga nani wafanyabiashara wakubwa wengine wazawa au hata hapo mbeya mjini.Wewe itakuwa ni mnyakyusa jiwe limekupata hahahaa.Wasafwa ni wachapa kazi sana."Zimbombo"
Dah angalau sasa umeanza kuja taratibu. Kwa taarifa yako Mbeya ilikuwa na sehemu za kuangalia movie kama Avalon wakati ule Dar. Unajua zote hizo zilikufa for obvious reasons. Wakati ule ni mikoa michache sana ilikuwa na sehemu hizo. Hizi modern movie theatres ni kitu kingine kwa sasa.
Mbeya vipo vi supermarket vingi tu. Tatizo hujatembea na mwenyeji wako ndiyo hivyo tena. Restaurant ipi unataka? Kuna Hotels nyingi tu na zina restaurant. Tatizo ni mwenyeji wako.
Hahaha,ficha ujinga wako mini maana ya utajiri?research yako umeifanyia wap ili kujua Hilo?hahaha m sio mnyaki,msafwa wala mkinga ila nmekaa sana mbeya miaka zaid ya 7 narudia tena hakuna msafwa tajiri hapo mbeya
Afu hiyo tunduma ni songwe sio mbeya
Mi sjui nfafanulie weweHahaha,ficha ujinga wako mini maana ya utajiri?research yako umeifanyia wap ili kujua Hilo?
Mkuu ungeenda Hill's View au Desderia kwa Sugu hiyo uliyoenda wewe itakuwa vichochoroni
Mkuu Mwanza ukitoa Capri Point na Isamilo wapi kwengine kuzuri? Sijauliza kwa kejeli nimeuliza kwa kutaka kujua tu
I po vetaHii nyumba haipo Sai kweli!?Tena ya yule jamaa George town.
hahaha hakuna msafwa tajiri zaid za shitambala na sijabaje
Umejibu ki politics sana jibu vzr sstaMwanza hapajawah ht kuwaza palingane na Mbeya mkuu
Umejibu ki politics sana jibu vzr ssta