Mbeya: Dkt. Slaa akataa kuchukuliwa Sample ya Sauti yake

Mbeya: Dkt. Slaa akataa kuchukuliwa Sample ya Sauti yake

Kwenye IT zipo Software (Voice Font - Kwa mfano) zinaweza tumika zalisha sauti halisi ya mtu mwingine. Mfano naweza imba nyimbo kisha nikatumia sauti ya late Tupac na kuonekana na kusikika 100% ameimba/ sema yeye! Ni ikawa ngumu kuthibitisha kama sio sauti yake mpaka mahabara kutumia oscilloscope inayoweza onyesha voice patterns halisi
Mahabara ndio nini mkuu?
 
Kwenye IT zipo Software (Voice Font - Kwa mfano) zinaweza tumika zalisha sauti halisi ya mtu mwingine. Mfano naweza imba nyimbo kisha nikatumia sauti ya late Tupac na kuonekana na kusikika 100% ameimba/ sema yeye! Ni ikawa ngumu kuthibitisha kama sio sauti yake mpaka mahabara kutumia oscilloscope inayoweza onyesha voice patterns halisi
  • ndio maana ili ushahidi kama huo wa sauti ukubalike mahakamani kuna procedure nyingi sana, mfano huyo anayetaka kutoa ushahidi anatakiwa aoneshe ushahidi ni wa kuaminika, na halisi,
  • anatakiwa aoneshe alipataje huo ushahidi, akautunzaje huo ushahidi, na kama aliweka kwenye flash disc anatakiwa aoneshe uwezekano wa kutokuchezewa huo ushahidi,
  • na kikubwa zaidi huyo mtoa huo ushahidi anatakiwa aape aandae Kiapo kinachoeleza yote hayo hapo juu
 
Haya majitu yamefanikiwa kuwa brain wash watu wa kutosha.
Haya yote yamesababishwa na mfumo wa kuifanya elimu ya Tanzania kuwa ya kijanja janja matoe yake kundi kama hili limeamua kuaminishwa ujinga na hawatoki!!! Dawa ni kutumia nguvu mpaka yanyooke huyu Mungu ni wa wote. Baadhi ya viongozi wa Dini walikwisha laaniwa kutokana na kutumia Dini kama koti la kuficha madhambi yao wanawaibia wahumini na kuwa brain wash. EEEE MWENYEZI MUNGU TUNAKUOMBA HAWA WANAOWAOMBEA WENZAO MABAYA KINYUME NA MAPENZI YAKO WASHINDWE NA WALEGEE NA UBAYA HUO UWARUDIE WAO KWA KIWANGO KILEKILE WANACHO OMBA AMENI.
 
Wanataka waitumie sauti kutengenezea voice note ya uhaini

Mtu anajirekodi voice note "Mimi Slaa nmeapa ntaipindua nchi " halafu hio sample ya sauti inawekwa juu ili isikike sauti ya Slaa.

wanachotaka ni ile sauti safi kutoka kwenye chumba kama kile cha kwenye studio .

View attachment 2719278
 

Attachments

  • 366404536_250581384543026_4292644641426154408_n.mp4
    184.4 KB
Wanataka waitumie sauti kutengenezea voice note ya uhaini

Mtu anajirekodi voice note "Mimi Slaa nmeapa ntaipindua nchi " halafu hio sample ya sauti inawekwa juu ili isikike sauti ya Slaa.

wanachotaka ni ile sauti safi kutoka kwenye chumba kama kile cha kwenye studio .

View attachment 2719278

 
  • ndio maana ili ushahidi kama huo wa sauti ukubalike mahakamani kuna procedure nyingi sana, mfano huyo anayetaka kutoa ushahidi anatakiwa aoneshe ushahidi ni wa kuaminika, na halisi,
  • anatakiwa aoneshe alipataje huo ushahidi, akautunzaje huo ushahidi, na kama aliweka kwenye flash disc anatakiwa aoneshe uwezekano wa kutokuchezewa huo ushahidi,
  • na kikubwa zaidi huyo mtoa huo ushahidi anatakiwa aape aandae Kiapo kinachoeleza yote hayo hapo juu
Kun
Mahabara ndio nini mkuu?
Kiswahili toka primary nilikuwa nagombana na Mwalimu wangu nimekula sana bakora ! Kikubwa ujumbe ufike- fundisha watoto wako wakijue vyema mimi nipotezee kwani akinisaidii kitu
 
View attachment 2719269

Taarifa iliyotolewa na Wakili wa Dr Slaa inasema kwamba , kabla ya kufikishwa Mahakamani leo Polisi walitaka kuchukua Sample ya Sauti ya Dkt Slaa (Haifahamiki walitaka kuifanyia nini) , ambapo Dkt Slaa amekataa jambo hilo kufanyika , kwa vile tayari polisi walishasema wanayo sauti yake ambayo wanadai waliinasa akipanga Uhaini wake , basi ni vema wakiitumia hiyo waliyo nayo ili kufanyia mambo yao .

Vinginevyo Wakili wake amedai kwamba wakitaka sauti ya Dkt Slaa basi wafungue kesi mahakamani kuiomba sauti hiyo , inatajwa kwamba jambo hili ndilo limekwamisha Watuhumiwa hao kufikishwa Mahakamani siku ya leo kutokana na mabishano makali kuhusu Sauti hiyo .

========

Bali wadau wengi wanaona Polisi hawakujipanga na kesi hii wameburuzwa tu na Watawala ili kuwalinda Waarabu wa DP WORLD , na ndio maana wanaokoteza
na kuunga unga sauti ya Dkt Slaa ili kutengeneza ushahidi wa magumashi .

Lakini ni vema tukafahamu kwamba , Hakuna popote pale kwenye dunia hii ambako Shetani aliwahi kumshinda Mungu.
---

DKT. SLAA AKATAA KUCHUKIWA SAMPLE YA SAUTI YAKE MBEYA, WAKWAMA KUPELEKWA MAHAKAMANI.

Wakili wa Balozi Dkt. Wilbroad Slaa, Dickson Matata, amesema mchakato wa kumpeleka mahakamani mteja wake Balozi Dkt Slaa na wenzake umekwama baada ya kutokea mabishano ya kisheria katika kituo cha Polisi cha kati Mkoani Mbeya, baada ya kukataa kutoa sampuli ya sauti yake akiwa kituoni hapo.

Akizungumza na waandishi wa habari Wakili Matata amesema mteja wake Balozi Dkt Slaa alisafirishwa usiku wa kuakia Jana hivyo ameonananae mapema hii leo Ili kuanza taratibu za kwenda mahakamani, ambazo zimeshindikana kwa sababu za kiupelelezi ikiwemo kutakiwa sampuli ya sauti iliyokataliwa na mtuhumiwa.

Balozi Dkt Wilbroad Slaa na wenzake, Wakili Boniface Mwabukusi pamoja na Mdude Nyagali walikamatwa na jeshi la Polisi katika maeneo tofauti mwishoni mwa wiki iliyopita.
Lakini ni vema tukafahamu kwamba , Hakuna popote pale kwenye dunia hii ambako Shetani aliwahi kumshinda Mungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom