Sir John Deere
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 14,222
- 27,443
🤣🤣🤣🤣🤣Kwahiyo kawa Bubu ghafla?
🤣🤣🤣🤣🤣Kwahiyo kawa Bubu ghafla?
Umeelezea vizuriSasa wakati anajibu hivyo kuwa wachukue ile sauti inayosambaa haoni kama automatically tayari anakuwa ametoa sauti?
Daah huyo Mungu atakua kakosa kazi za kufanyaHujui chochote wew tulia mpango wa Mungu utimie
Hao nao wanaotaka kuvuruga amani kwa mikutano yavurugu waachiwe tu?Sisi tunawaangalia tu, wateseni Watanzania,lakini mungu wetu hajalala. Atawachukua mmoja mmoja. Ewe MWENYEZI Mungu washughulikie watesi na majizi wa mali za umma.
Waache waminywe,wakitoka watatia akili.Waminywe sana tu.Mama abdulii shida ni elimu ndogo mara cheti mara diploma,mara degree sijui kasomea siasa...yani elimu yake ni tafrani
Pascal Mayalla angeingia kwenye utetezi wa hii kesi ya uhaini for job experience halafu anawachomoa Mdude na Mwabukusi ili Babu achezee kitanzi
Nadhani ni Dunia nzima ukitaka kufanya Mapinduzi ukabainika lazima wakunyonge au wakuweke store kwa muda mrefu huko Germany kuna kesi kama hii inayoendeleaFanya unacho weza ila usipambane na "state in Africa".
GwarideHivi police college mbali na kufundishwa kuchukua rushwa nini kingine wanafundishwa?
Wataomba kurekodi sauti ya MwarabuNdo maana me nasemaga viongozi wa serikali ya CCM hawana akili hamnielewi. Hivi kwa akili kama hizi wataweza kuishtaki DPW siku mambo yakienda sivyo
Aliyejibu hivyo ni wakili wake sio Dr Slaa.Sasa wakati anajibu hivyo kuwa wachukue ile sauti inayosambaa haoni kama automatically tayari anakuwa ametoa sauti?
Sipendi kabisa haya yanayompata! Ila, kwenye suala la Katiba, wakati ule wa JIWE, alikuwa ananikera sana, alivyokuwa akiongea kuwa hakuna uhitaji wa kushinikiza Katiba mpya! Kubwa kuliko yote, alinihuzunisha sana, alipoulizwa kuhusu Lissu kupigwa risasi. Alidai hilo ni jambo la kawaida tu. Watu wengi wanauwawa kila mahali. Alikuwa anaonekana hataki kumuhusisha yule ambaye wengi tulikuwa tunaona kuna mkono wake!Namkumbuka slaa alipokuwa anaitetea katiba iliyopo kuwa haina shida nakwamba isishinikizwe kubadilishwa na wanasiasa! Namkumbuka dr. Alipokuwa anaongea sheet juu ya shambulio la lisu. Kwangu mm anastahili kuwepo alipo ili ajifunze kwamba wema hauozi. Wakampime mkojo kwanza
Mahakaman sio kila kitu unaongea ndo maana watu wenye wanasesheria wao hawaongei chochote bila ya kuwa na mwanasheria waoSasa kama wakili wake yupo ana wasiwasi gani kutoa ushahidi? Kashashtuka huyo imemkalia vibaya nasikia kaanza kugoma kula.
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Hata mimi nilitaka kumjibu mwamba ana upeo mdogo sana anafikiri mambo ni marahis sanaUna akili kisoda sana wewe,![]()
Sasa wakati anajibu hivyo kuwa wachukue ile sauti inayosambaa haoni kama automatically tayari anakuwa ametoa sauti?
Hujui kitu tulia akili yako siyo akili ya wenzakoDaah huyo Mungu atakua kakosa kazi za kufanya