tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,896
- 19,755
Mama abdulii shida ni elimu ndogo mara cheti mara diploma,mara degree sijui kasomea siasa...yani elimu yake ni tafrani
Jf ipo kwa ajili hiiHi
Hivi hao waandishi wa habari huwa wanaripoti habari hizo ?
jambo tv youtube wanajitahidi sana tuwape maua yao
kwani huko aliko haongei. Mpaka Alivyofika polisi alikuwa bubu Au hiyo sauti lazima aongee kwenye special mikeHata kwenye serves za Clubhouse zipo sauti za Slaa
Aibu sana !Wanaumbuka mchana kweupe.
Media ndio itathibitisha?Kama wanataka sauti ya Slaa waichukue kwenye MEDIA.
Usiconclude!Wanaumbuka mchana kweupe.
Sauti zina vipimo vya kisayansiHata kwenye serves za Clubhouse zipo sauti za Slaa
Kwamfano verified account yake huko CLUB HOUSE hiyo sauti itakubalika kisheriaMedia ndio itathibitisha?
Sheria siyo Siasa
Akiikataa ni lazima uithibitishe kisayansi kwa mujibu wa dunia ya leo!Kwamfano verified account yake huko CLUB HOUSE hiyo sauti itakubalika kisheria
Hii ni Aibu kwa Wasomi!View attachment 2719269
Taarifa iliyotolewa na Wakili wa Dr Slaa inasema kwamba , kabla ya kufikishwa Mahakamani leo Polisi walitaka kuchukua Sample ya Sauti ya Dkt Slaa (Haifahamiki walitaka kuifanyia nini) , ambapo Dkt Slaa amekataa jambo hilo kufanyika , kwa vile tayari polisi walishasema ...
Mbona ni kazi rahisi Forensics wanainyakaAkiikataa ni lazima uithibitishe kisayansi kwa mujibu wa dunia ya leo!