Mbeya: Dkt. Slaa akataa kuchukuliwa Sample ya Sauti yake

Mbeya: Dkt. Slaa akataa kuchukuliwa Sample ya Sauti yake

Hata kwenye serves za Clubhouse zipo sauti za Slaa
Unadhibitishaje kuwa huyo ni Slaa? Utata unaanzia hapo! Ushahidi wa sauti mahakamani ni mgumu sana labda wa video.
Steve Nyerere anaweza kutuigizia sauti ya Mwl Nyerere na kila mtu akaamini ndiye, jee unadhani sauti hiyo inaweza kutumika mahakamani na kuita Agizo la Julius juu ya jambo fulani?
 
Chadema mtaacha lini ujinga? Polisi wanataka kukamilisha ushahidi wa sauti sasa Dr.mihogo anaogopa nini kuhojiwa kama yeye hausiki? Hii manaa yake ni kwamba Dr.mihogo anajuwa ni yeye alitamka maneno yale kwahiyo anaogopa ushahidi utakamilika kwajili ya kupeleka mashtaka kwa DPP. Slaa kwisha habari yakee hatunae tena.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Atatoa majibu mahakamani wao si wamesema anayo makosa ya uhaini? Sasa wanatafuta nini na ushahidi wanao? Wakitaka kuwahoji vizuri wawapeleke mahakamani
 
Kuna wakati nilikuwa namhesimu sana mama Abdul kuwa ana jicho la kuona mbali na akili mingi ila now nashindwa kujua yeye yupo hai kweli au tupo na robort mazee hebu fanyeni unyakyusa mwingi huenda vijana wa kanisani wameshafanya yao,. Maana sielewi elewi hivi
 
Sasa kama wakili wake yupo ana wasiwasi gani kutoa ushahidi? Kashashtuka huyo imemkalia vibaya nasikia kaanza kugoma kula.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Elewa kiswahili wewe
Vitu vya kisheria havitolewi kienyeji
Ukiwapa your clear voice wakaenda kuimanipulate kimyakimya utajitetea vipi?
Bora waichukue mbele ya public ili wasiilete mahakamani kama ushahidi
 
Chadema mtaacha lini ujinga? Polisi wanataka kukamilisha ushahidi wa sauti sasa Dr.mihogo anaogopa nini kuhojiwa kama yeye hausiki? Hii manaa yake ni kwamba Dr.mihogo anajuwa ni yeye alitamka maneno yale kwahiyo anaogopa ushahidi utakamilika kwajili ya kupeleka mashtaka kwa DPP. Slaa kwisha habari yakee hatunae tena.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Akili huna usamehewe tu
 
Chadema mtaacha lini ujinga? Polisi wanataka kukamilisha ushahidi wa sauti sasa Dr.mihogo anaogopa nini kuhojiwa kama yeye hausiki? Hii manaa yake ni kwamba Dr.mihogo anajuwa ni yeye alitamka maneno yale kwahiyo anaogopa ushahidi utakamilika kwajili ya kupeleka mashtaka kwa DPP. Slaa kwisha habari yakee hatunae tena.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Sisi yetu macho tutaanza kuzika mmoja baada ya mwingine ndio mjue kuwa wananchi tumechoka msidhani mmejificha hapa hao hao mnaokula nao ni wenzetu pia wanatupaga story
 
Atatoa majibu mahakamani wao si wamesema anayo makosa ya uhaini? Sasa wanatafuta nini na ushahidi wanao? Wakitaka kuwahoji vizuri wawapeleke mahakamani
Ukiwa polisi wakati wa kuchukuliwa vielelezo unaruhusiwa kuja na mwanasheria wako ili usibambikiwe au kulishwa maneno huu ni utaratibu wa kawaida kabisa wa Haki za mtuhumiwa sasa Dr.mihogo anagoma kutoa sauti tumweleweje?.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom