Mbeya: Dkt. Slaa akataa kuchukuliwa Sample ya Sauti yake

Mbeya: Dkt. Slaa akataa kuchukuliwa Sample ya Sauti yake

Sema kwa hili kuna ka ujinga fulani fulani kanatumika ili kumchonganisha rais wetu na wapiga kura. Sababu ya hasa kumkamata Dkt Slaa na wenzake ni za kijinga sana. Sijui rais wamemdanganya kitu gani mpaka kukubali huu ujinga. There’s a cost kwa reputation ya Dkt Samia ktk hili, sijui kajioangaje but all in all Dkt Slaa hakupaswa kabisa kuwa kwenye spot ya ukamatwaji kwa sababu hapa makundi yanayomchukia Dkt Samia yameongezeka, yaani kundi la Dkt Magufuli, la Dkt Slaa, viongozi wa dini wote, ikumbukwe Dkt Slaa bado anatambulika na Vatican. Sijui atajinasuaje. Sisi chawa tulishauri aachane na huo mpango tukaonekana wabaya, ni kama ilivyo kwenye vijembe vya kumdhihaki Dkt Magufuli tulitahadharisha
Think tank ya polisi wa hili jambo ndio ile ile iliotengeneza case ya Mbowe.
 
Kwenye hii ngoma? hebu ngoja tuone
Mimi nilifuatilia Kesi ya Akina Hanspope 1982 na hasa Wakili Lakha alivyokuwa mjanja wa sheria

Nikafuatilia Kesi ya afande Zombe

Na hata Kesi ya Ugaidi ya Freeman

Sasa muangalie Sabaya alivyojinasua pamoja na CCTV

Mawakili wa mtaani wamewazidi sana wale wa kuajiriwa!
 
Mimi nilifuatilia Kesi ya Akina Hanspope 1982 na hasa Wakili Lakha alivyokuwa mjanja wa sheria

Nikafuatilia Kesi ya afande Zombe

Na hata Kesi ya Ugaidi ya Freeman

Sasa muangalie Sabaya alivyojinasua pamoja na CCTV

Mawakili wa mtaani wamewazidi sana wale wa kuajiriwa!
Sabaya kaingia ple bargain
In other words he was found guilty
 
View attachment 2719269

Taarifa iliyotolewa na Wakili wa Dr Slaa inasema kwamba , kabla ya kufikishwa Mahakamani leo Polisi walitaka kuchukua Sample ya Sauti ya Dkt Slaa (Haifahamiki walitaka kuifanyia nini) , ambapo Dkt Slaa amekataa jambo hilo kufanyika , kwa vile tayari polisi walishasema wanayo sauti yake ambayo wanadai waliinasa akipanga Uhaini wake , basi ni vema wakiitumia hiyo waliyo nayo ili kufanyia mambo yao .

Vinginevyo Wakili wake amedai kwamba wakitaka sauti ya Dkt Slaa basi wafungue kesi mahakamani kuiomba sauti hiyo , inatajwa kwamba jambo hili ndilo limekwamisha Watuhumiwa hao kufikishwa Mahakamani siku ya leo kutokana na mabishano makali kuhusu Sauti hiyo .

========

Bali wadau wengi wanaona Polisi hawakujipanga na kesi hii wameburuzwa tu na Watawala ili kuwalinda Waarabu wa DP WORLD , na ndio maana wanaokoteza
na kuunga unga sauti ya Dkt Slaa ili kutengeneza ushahidi wa magumashi .

Lakini ni vema tukafahamu kwamba , Hakuna popote pale kwenye dunia hii ambako Shetani aliwahi kumshinda Mungu
BALENSIAGA Pascal Mayalla Petro E. Mselewa mtuhumiwa wa uhaini ana haki gani kisheria ?
 
Nchi yetu ina vituko sana.

Haya mambo hayahiyaji hasira,wao walipaswa watafute ushahidi wao,kisha wamuite mahakamani
Tatizo uwezo wao mdogo wa ushawishi, huu mjadala wa bandari wameshindwa kabisa kuuzima pamoja na kuwa na idara za propaganda mpaka wakageukia kutumia mabavu hii ni aibu.
 
Chadema mtaacha lini ujinga? Polisi wanataka kukamilisha ushahidi wa sauti sasa Dr.mihogo anaogopa nini kuhojiwa kama yeye hausiki? Hii manaa yake ni kwamba Dr.mihogo anajuwa ni yeye alitamka maneno yale kwahiyo anaogopa ushahidi utakamilika kwajili ya kupeleka mashtaka kwa DPP. Slaa kwisha habari yakee hatunae tena.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Chadema mtaacha lini ujinga? Polisi wanataka kukamilisha ushahidi wa sauti sasa Dr.mihogo anaogopa nini kuhojiwa kama yeye hausiki? Hii manaa yake ni kwamba Dr.mihogo anajuwa ni yeye alitamka maneno yale kwahiyo anaogopa ushahidi utakamilika kwajili ya kupeleka mashtaka kwa DPP. Slaa kwisha habari yakee hatunae tena.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Wakaiombe mahakamani...
Hapo ni kama unataka searching warrant.Haitoki isipokuwa kwa amri ya mahakama
 
Polisi wakitaka chochote kwa mtuhumiwa wanakipata, selo kuna mambo ya ajabu mule. Mtuhumiwa hawezi kataa kutoa ushirikiano wanaotaka polisi akiwa mikononi mwao.
 
Chadema mtaacha lini ujinga? Polisi wanataka kukamilisha ushahidi wa sauti sasa Dr.mihogo anaogopa nini kuhojiwa kama yeye hausiki? Hii manaa yake ni kwamba Dr.mihogo anajuwa ni yeye alitamka maneno yale kwahiyo anaogopa ushahidi utakamilika kwajili ya kupeleka mashtaka kwa DPP. Slaa kwisha habari yakee hatunae tena.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Papa akikohoa tu huyo Dr Mihogo utamkuta mtaani anadunda tu😂😂

Itaga Seminary hiyo!
 
Back
Top Bottom