Mbegu nzuri ukubalika kila sehemu

Mbegu nzuri ukubalika kila sehemu

Oya mbegu nzuri ndio kama yangu maana katoto kako kamoja nilikusaidia😂😂😂😂
Una swaga za kuzaa na huyu?
leo3.jpg
 
...women are like machines, so it requires knowledge and experience (long term/permanent) to work with them every day

seeds(sperms) are not an issue, an issue is the experience of operating machinery in the industry
 
...women are like machines, so it requires knowledge and experience (long term/permanent) to work with them every day

seeds(sperms) are not an issue, an issue is the experience of operating machinery in the industry
Ni sababu zipi zinazopelekea wao kuzaa nje?
 
Kama huna mtoto mpaka sasa, na hakuna mwanamke aliyekuja kukuomba uzae nae, juwa kuwa mbegu yako si nzuri.

Ata kwenye mashamba, huwa tunachagua mbegu nzuri na kuiotesha, hivyo hivyo na kwenye mifugo, tutaangalia ile mbegu nzuri na kuipandikiza kwenye jike.

Pia, na kama unatumia pesa nyingi kwenye kuhonga ili umpate umpendaye, hii pia inathibitisha mbegu yako si nzuri.

Mbegu nzuri, sehemu yoyote utafutwa kwa gharama yoyote, na mbegu mbaya upambana ili iweze kuonekana ni nzuri.

Hii ni mada ngumu, lakini ndio ukweli wenyewe.​
Hakuna mwanamke atakayekwenda kuomba mbegu kwa kapuku hata awe handsome kiasi gani.
 
Back
Top Bottom