Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,107
- 55,524
Kama huna mtoto mpaka sasa, na hakuna mwanamke aliyekuja kukuomba uzae nae, juwa kuwa mbegu yako si nzuri.
Ata kwenye mashamba, huwa tunachagua mbegu nzuri na kuiotesha, hivyo hivyo na kwenye mifugo, tutaangalia ile mbegu nzuri na kuipandikiza kwenye jike.
Pia, na kama unatumia pesa nyingi kwenye kuhonga ili umpate umpendaye, hii pia inathibitisha mbegu yako si nzuri.
Mbegu nzuri, sehemu yoyote utafutwa kwa gharama yoyote, na mbegu mbaya upambana ili iweze kuonekana ni nzuri.
Hii ni mada ngumu, lakini ndio ukweli wenyewe.
Ata kwenye mashamba, huwa tunachagua mbegu nzuri na kuiotesha, hivyo hivyo na kwenye mifugo, tutaangalia ile mbegu nzuri na kuipandikiza kwenye jike.
Pia, na kama unatumia pesa nyingi kwenye kuhonga ili umpate umpendaye, hii pia inathibitisha mbegu yako si nzuri.
Mbegu nzuri, sehemu yoyote utafutwa kwa gharama yoyote, na mbegu mbaya upambana ili iweze kuonekana ni nzuri.
Hii ni mada ngumu, lakini ndio ukweli wenyewe.