Greenwhich
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 1,337
- 968
Mwenyekiti wa NCCR James Mbatia amewashambulia viongozi wa upinzani kwa kuchochea mgogoro wa Gesi katika mikoa ya kusini.Mbatia amesema viongozi hao si wazalendo na ni wababaishaji wakubwa.
Gazeti la ccm ungetegemea liandike vp ili liuzwe
NCCR + CHADEMA = CCM + CHADEMA
Given: NCCR = MBATIA
Find MBATIA
- tickwao
NCCR=CCM+CHADEMA-CHADEMA - tick
NCCR=CCM - tick
therefore MBATIA=CCM - tick
Hehehe ndio maana aliteuliwa viti maalumu vya rais
Gazeti la ccm ungetegemea liandike vp ili liuzwe
NCCR + CHADEMA = CCM + CHADEMA
Given: NCCR = MBATIA
Find MBATIA
Nadhani.....maana hata taito ya gazeti inashabihiana.....Mbatia awasuta viongozi wambeaHuyu sijui bado anaendeleza kale kamchezo ka kibaha secondary?
Tatizo hata gazeti hili likimlisha maneno Mbatia, hawezi kukanusha kwa sababu ambazo ziko wazi kuwa kapata ubunge kutokana na huruma ya Mwenyekiti wa chama kinachomiliki gazeti hilo