Nadhani kama Mbatia ,Mnyika na Lissu wataunda Chama basi hiki ndicho kitakuwa Chama halisi cha Upinzani

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Jan 9, 2022
449
1,009
Kiuhalisia ukitoa wana harakati kama kina Mdude ,Mwabugusi na wengine wachache nchi inabaki na watu wachache sana ambao ambao wazalendo wa kweli na mioyo yao kila siku hunena mema kuhusu Tanzania .

Lisu , Mbatia na Mnyika ni moja ya watu makini sana na wazalendo Tatizo hawana nguvu za kichama , siku wakiungana tukapata chama hapa hata mimi ntawaunga mkono .

CCM kwa namna yoyote ile ni ya kutoka madarakani ila huwezi toa CCM na kuweka CHADEMA au ACT za leo hizi labda yatokee mabadiliko makubwa sana ya kiongozi .
 
Huna unachojua wewe!
Mnyika ni Katibu Mkuu wa CHADEMA na ndiye Mtendaji Mkuu wa Chama na Tundu Lissu ni Makamu Mwenyekiti wa Chama waache nafasi hizo waende wakaanzishe Chama kipya!?
Itakuwa ni akili au matope!
Wafanye maboresho na Mageuzi tu ndani ya Chama chao na wanaweza kufika mbali.
 
Yaani naona Mbowe anawatia wazimu sana. Imekuwaje mabandiko ya kumshambulia yanakuja dabalidabali??

Lissu na Mnyika ni CHADEMA ila wakitoka na kuunda chama kingine eti ndiyo wataweza kuitoa CCM madarakani.

Kwa nini watoke CHADEMA???
sasa mnyika ana nguvu gani hapo ya maamuzi ?
 
Kiuhalisia ukitoa wana harakati kama kina Mdude ,Mwabugusi na wengine wachache nchi inabaki na watu wachache sana ambao ambao wazalendo wa kweli na mioyo yao kila siku hunena mema kuhusu Tanzania .

Lisu , Mbatia na Mnyika ni moja ya watu makini sana na wazalendo Tatizo hawana nguvu za kichama , siku wakiungana tukapata chama hapa hata mimi ntawaunga mkono .

CCM kwa namna yoyote ile ni ya kutoka madarakani ila huwezi toa CCM na kuweka CHADEMA au ACT za leo hizi labda yatokee mabadiliko makubwa sana ya kiongozi .
Mbatia yupi, yule aliywaidiwa ubunge na magufuli navgakuupata?
 
Kiuhalisia ukitoa wana harakati kama kina Mdude ,Mwabugusi na wengine wachache nchi inabaki na watu wachache sana ambao ambao wazalendo wa kweli na mioyo yao kila siku hunena mema kuhusu Tanzania .

Lisu , Mbatia na Mnyika ni moja ya watu makini sana na wazalendo Tatizo hawana nguvu za kichama , siku wakiungana tukapata chama hapa hata mimi ntawaunga mkono .

CCM kwa namna yoyote ile ni ya kutoka madarakani ila huwezi toa CCM na kuweka CHADEMA au ACT za leo hizi labda yatokee mabadiliko makubwa sana ya kiongozi .
Vyama pinzani viko vingi lakini vyote hoi bin taaban!
 
Mtoe Mbatia hapo, acha kuwakosea heshima Mnyika na Lisu tafadhali.
Kiuhalisia ukitoa wana harakati kama kina Mdude ,Mwabugusi na wengine wachache nchi inabaki na watu wachache sana ambao ambao wazalendo wa kweli na mioyo yao kila siku hunena mema kuhusu Tanzania .

Lisu , Mbatia na Mnyika ni moja ya watu makini sana na wazalendo Tatizo hawana nguvu za kichama , siku wakiungana tukapata chama hapa hata mimi ntawaunga mkono .

CCM kwa namna yoyote ile ni ya kutoka madarakani ila huwezi toa CCM na kuweka CHADEMA au ACT za leo hizi labda yatokee mabadiliko makubwa sana ya kiongozi .
 
Kiuhalisia ukitoa wana harakati kama kina Mdude ,Mwabugusi na wengine wachache nchi inabaki na watu wachache sana ambao ambao wazalendo wa kweli na mioyo yao kila siku hunena mema kuhusu Tanzania .

Lisu , Mbatia na Mnyika ni moja ya watu makini sana na wazalendo Tatizo hawana nguvu za kichama , siku wakiungana tukapata chama hapa hata mimi ntawaunga mkono .

CCM kwa namna yoyote ile ni ya kutoka madarakani ila huwezi toa CCM na kuweka CHADEMA au ACT za leo hizi labda yatokee mabadiliko makubwa sana ya kiongozi .
Kwanini wewe usianzishe chama chako?
 
Back
Top Bottom