Mbatia Ashambulia Upinzani Tanzania

Mbatia Ashambulia Upinzani Tanzania

...ukiona mwanaume anakenua meno anapopewa kitu cha bure(ubunge wa viti maalum),jua moja kwa moja ameishavurugwa...
 
Ndio matatizo ya Mwanaume kuwa Mbunge wa Viti Maalum hadi Mbatia kasahau kwamba nae ni Mpinzani.
 
bado ana homa ya kupigwa chini ubunge wa kinondo na kamanda mdee, jamaa anatatizo la kisaikolojia, kwa kumuangalia tu hayuko sawa
 
mkuu mwenyekiti vp tena?ulikosa sehemu husika ya kuongelea hoja yako mpaka uende huko kwenye kijarida cha magamba
 
Najua cku akija kiongoz wa CDM mwenye akili timamu ya kuelewa mantik ya serikali wote hapa mtabadili mwelekeo.eti kuna f**a hapo juu anadai "waachen watu wa mtwara wanufaike na raslimali yao" we ----- raslimal ile ya watanzania wote inatakiwa inufaishe taifa zima wakiwemo watu wa mtwara.
 
Sikuhizi kuna magazeti yakiripoti kitu hua nachukua muda kutafakari, hasa kama habari yenyewe imekaa mkao wa kusuta wapinzani kama hii, gazeti moja wapo ni hili gazeti kongwe, habari zao nyingi zimekaa kiudaku udaku zaidi, ndio maana hata huwa sinunui kabisa! Binafsi nnamshaka sana kama kweli Mbatia ametamka hayo (though najua hata kama hajatamka hana jeuri ya kubisha) cause atakua anajidhalilisha sana mbele za wenzie! Hivi Bunge silinaanza mwezi ujao? sijui hata itakuaje, jana nimemsikia mbunge mmoja wapo wa huko akihojiwa na Radio ya Ujerumani, ni member wa magamba lakini katapika kweli kweli utadhani nae ni wa CDM
 
Tusimlaumu Mbatia ndugu zangu. Sasa hivi analipa fadhila kwa wahisani wake CCM.


Sent from my Nokia 8310 using Tapatalk
 
Lets wait kama Mbatia atakanusha au atameza machungu"
 
NCCR + CHADEMA = CCM + CHADEMA

Given: NCCR = MBATIA

Find MBATIA

NCCR + CHADEMA = CCM + CHADEMA.
Given: NCCR = MBATIA

Then: MBATI +CHADEMA = CCM + CHADEMA
Substract CHADEMA Each side of equationl.

MBATIA + CHADEMA-CHADEMA =CCM+CHADEMA -CHADEMA.

Then: MBATIA = CCM.

Uzuri wa Hesabu hata ikifanyika uchina Jibu ni moja tofauti njia tu.
Na hapoa hata marks za njia lazima nikombe haina kudesa.
Tehteh umenikumbusha enzi za kwenda kupiga paper la hesabu azania jumamosi kwa yule mlemavu nimesahau jina, ni mwendo wa kuwaburuza.
 
Kwanza unapaswa kutazama ni gazeti gani limeripoti habari hii.

Pili unapaswa kujua ni nani aliyemuingiza muhusika huyu bungeni.

Tatu unapuuzia kusoma spinning hii ya kitoto.
 
Mwenyekiti wa NCCR James Mbatia amewashambulia viongozi wa upinzani kwa kuchochea mgogoro wa Gesi katika mikoa ya kusini.Mbatia amesema viongozi hao si wazalendo na ni wababaishaji wakubwa.
IMG-20130102-00126_cdd25.jpg
Kibaraka wa mzee wa msogah hajaacha taarabu za vidole vitatu tu, waliomteua watamsumbua sana tena nasikia anapewa maagizo kwa msg halafu na mhariri wa uhuru anaambiwa shika kalamu
 
Back
Top Bottom