Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 25,101
- 27,194
Wapi Kinana, Nape na Mwigulu? Kila mtu angeenda pale, eneo lisingetosha. Wanajeshi tu peke yao walipelekwa 500, bado JKT, migambo na askari polisi. nadhani lilikuwa ni eneo la operesheni zaidi kuliko mfululizo wa protokali, maana kila kiongozi angetaka atoe maelekezo bila kufuata weledi wa uokoaji. For me, mkuu wa mkoa na RPC walitosha kwa wakati ule, mmoja kuhakikisha dhamana ya gharama za uokoaji kutoka kampuni binafsi, na mwingine usalama. Hivyo vikosi vingine vya uokoaji vingeongozwa na wakuu wa kawaida wa vikosi