Mwinyi_ole_mushi
JF-Expert Member
- Oct 29, 2015
- 1,591
- 4,326
Wenye university offer mpo?
Mtandao gan kwa mia tano gb 1.2 wapatatafuteni laini za uni 500 unapewa gb1.2 na dakika kibao
Halotel university tsh 500 kwa week mb 600Halotel ilikua 500 Mb 250 now 200
Una kila dalili utakuwa mhayaAcheni kuendekeza vya bure kubabake zenu.
Mie mbona najiunga 40,000 Voda kwa week na silalamiki???
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG]
Walichukua hisa zao zotekwani wamwjiondoa ktk miundombinu ya TTCL???
Sio lazima line ya chuo Mkuu..weka hela kwenye Airtel money then piga *150*60# chagua namba 6 then UNI.tafuteni laini za uni 500 unapewa gb1.2 na dakika kibao
poleni sana. Acha tuisome tuI ve been shocked as well...
Mb 500 kwa week nielekeze mkuu najiungajekarib tigo un bundle 500mbz kwa jero wik nzima,upewe nn sasa.mkuu
Ungeitaja na sifa yako ya kitaaluma ningekusifu.Acheni kuendekeza vya bure kubabake zenu.
Mie mbona najiunga 40,000 Voda kwa week na silalamiki???
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG]
speed kubwa ndio maana zinaisha haraka, kwani simu yako haina data plan uwe unaangalia umetumia data kiasi gani?halotel wamepunguza 250 to 200 halafu zinafutika kama upepo by now natumia tigo wao wana 130lakini nimetumua masaa mengi yaani halotel zingeshakatika mda tu
inawezekana ninayo na sijui nifunze taffwadhalispeed kubwa ndio maana zinaisha haraka, kwani simu yako haina data plan uwe unaangalia umetumia data kiasi gani?
Ndo zipi hizotafuteni laini za uni 500 unapewa gb1.2 na dakika kibao
Ila nachofaham wamea