MB nazo zapunguzwa kimya kimya

MB nazo zapunguzwa kimya kimya

Waendelee tu kupunguza maana watu wataacha kushinda mitandaoni watakuwa bize na kazi

Wapi kuna kazi mkuu unielekeze?. Maana mi ni mjenzi nina miezi mitatu sijaona mteja hata wa kukosea namba. karibuni kabisa nitakosa hata za petrol.
 
Duh nimeamin kuna watumiaji wazur wa vifurush vya internet yan mtu unatumia Mb 600 kwa wiki ?? Hongera coz mimi huwa natumia GB 2 kila siku kwahyo kwa wiki ni GB 14 [emoji32][emoji32][emoji32][emoji26][emoji22] Nafwaa

Mtandao gani, na unakipata vipi?. Maana mi natumia 1.5 gb @ day na ni tshs 2000 tigo.
 
Mb 500 kwa week nielekeze mkuu najiungaje
mkuu lazm uwe ktk ile system ya tigo university offer kwa kuwa na ile line yao mpya ya sasa ambayo wanai promo ukiinunua watakuunganisha na hiyo service au km ukajiunge maeneo na karibu n chuo iv vikubwa..ndo inapatika hii huduma
 
halotel wamepunguza 250 to 200 halafu zinafutika kama upepo by now natumia tigo wao wana 130lakini nimetumua masaa mengi yaani halotel zingeshakatika mda tu
Mwenyewe nilitoa Halotel na kurudi nilikotoka hawa jamaa siku hizi hakuna kitu kasi ni sawa na mitandao mingine
 
Mwenyewe nilitoa Halotel na kurudi nilikotoka hawa jamaa siku hizi hakuna kitu kasi ni sawa na mitandao mingine
na mb zinayoyoma yaani kwa siki huwexzi tumia 500 wakati tigo pamojana kuwa 130mb toka jana hadi, leo nabrowse
 
57232f1c19ac7931ee7385b0d7dc57d8.jpg
 
Kazi ipo.........

Hakika namba inasomeka sasa,Leo nimenunua Mb(airtel) @500. Badala yakupewa Mb 150 now wanatoa Mb 80. Haha aisee sasa kwa hali hii si JamiiForums nitaisikia katika magazeti ya udaku..
 
Sio lazima line ya chuo Mkuu..weka hela kwenye Airtel money then piga *150*60# chagua namba 6 then UNI.

Zile uni zabkila laini ni changa la macho mwenye laini ya airtelbya chuo yenyewe anapata mb, dakika ,sms tofauti mimi ni wakala nawachekaga tu wanaosema uni ipo kote.
 
🙁 70 elfu?? Mmh hakujaga bajeti hii 🙁
sasa kama mtu anaweka bundle ya internet kila siku ya sh 2000 na bado ile ya maongezi 1000 labda kila siku hapo jumla inakua sh 90,000 kwa mwezi, sasa si bora uweke bundle ya 50,000 ili update dakika 750 kwa mwezi mitandao yote pamoja na 20gb bila kikomo au hicho cha 70 kama budget inaruhusu
 
Back
Top Bottom