MB nazo zapunguzwa kimya kimya

MB nazo zapunguzwa kimya kimya

Tumieni ttcl wako vizuri sana kwenye internet
 
Zile uni zabkila laini ni changa la macho mwenye laini ya airtelbya chuo yenyewe anapata mb, dakika ,sms tofauti mimi ni wakala nawachekaga tu wanaosema uni ipo kote.
Sio kwel Mkuu..mimi natumia line ya Airtel ambayo sio ya chuo na napata hadi hizo dakika na MB,angalia hapa nimeunga ya buku ambayo ni sku 3 napata dakika 110,2GB, unlimited SMS plus free WhatsApp, Facebook and Twitter.
 

Attachments

  • IMG_20170123_194300.jpg
    IMG_20170123_194300.jpg
    64.8 KB · Views: 38
Sio kwel Mkuu..mimi natumia line ya Airtel ambayo sio ya chuo na napata hadi hizo dakika na MB,angalia hapa nimeunga ya buku ambayo ni sku 3 napata dakika 110,2GB, unlimited SMS plus free WhatsApp, Facebook and Twitter.

Unacho bisha hukijui mimi nafanya kazi hiyo buku siki 2 sio ya chuo vifurushi vya chuo viko vya siki,week, mwezi hakuna cha siku 3, na hamna cha buku. ni 500 siku/week mb tu, 1500 siku 7 na 6000/ mwezi sio vinginevyo.
 
Ni maumovu kotekote. Voda wrzi wetu azoefu nao wamepunguza kutoka MB 130 mpaka 80 kwa sh. 500
 
Hakika namba inasomeka sasa,Leo nimenunua Mb(airtel) @500. Badala yakupewa Mb 150 now wanatoa Mb 80. Haha aisee sasa kwa hali hii si JamiiForums nitaisikia katika magazeti ya udaku..
Nunua laini ya halotel
 
Kuna chezo flani linafanywa na TTCL kupitia taasisi za serikali dhidi ya makampuni binafsi ya simu, soon watanzania wote mtaamia TTCL.

Wait and see.
a8b7a160e6353bf5cf41c6eb5715ffd6.jpg
aafe77d00f3ff9309f565bb286571220.jpg
 
Unacho bisha hukijui mimi nafanya kazi hiyo buku siki 2 sio ya chuo vifurushi vya chuo viko vya siki,week, mwezi hakuna cha siku 3, na hamna cha buku. ni 500 siku/week mb tu, 1500 siku 7 na 6000/ mwezi sio vinginevyo.
Hapana sio kweli Mkuu..mimi huwa najiunga mpaka hivyo vya wiki naamua tu kuchagua,hii hapa nmeingia sasa hv angalia hvyo vya wiki mpaka mwezi
 

Attachments

  • IMG_20170123_220833.jpg
    IMG_20170123_220833.jpg
    72.2 KB · Views: 40
Voda wamepunguza kifurushi cha MB kwa masaa 24 kutoka cha 500 kutoka MB 130 mpaka 70 inaonekana wameongea wote kwa pamoja na kukubaliana kufanya hivyo na nyie Tigo mjiandae.
 
sasa kama mtu anaweka bundle ya internet kila siku ya sh 2000 na bado ile ya maongezi 1000 labda kila siku hapo jumla inakua sh 90,000 kwa mwezi, sasa si bora uweke bundle ya 50,000 ili update dakika 750 kwa mwezi mitandao yote pamoja na 20gb bila kikomo au hicho cha 70 kama budget inaruhusu
kwa hali hii tumaunga jero tu per 24hrs
 
Ungeitaja na sifa yako ya kitaaluma ningekusifu.

Ile ya kuichangua engine ya gari unapoirejeshea nati kibao zinabaki.

Ukiulizwa unajibu "hizi hazina umuhimu"

Kumbe umesahau zinafungwa wapi!!!!!!!!
[emoji3] [emoji3] [emoji115] [emoji115] eti hazina umhimu inamaana walio ziweka wajinga Wahaya utawajua tu hawajifichi
 
Back
Top Bottom