Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 61,188
- 124,862
40 kwa wiki?? Mkuu fanya uniunge cha buku tatu tu[emoji13]Acheni kuendekeza vya bure kubabake zenu.
Mie mbona najiunga 40,000 Voda kwa week na silalamiki???
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG]
40 kwa wiki?? Mkuu fanya uniunge cha buku tatu tu[emoji13]Acheni kuendekeza vya bure kubabake zenu.
Mie mbona najiunga 40,000 Voda kwa week na silalamiki???
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG]
Mi voda wananipa kwa Tsh 500-300Mb(24hrs)
Tshs 1000-1GB (24hrs)
Tshs 2000-3GB (24hrs)
Tshs 10,000-10GB(7days)
Na speed yake ya 4G sio kitoto.
Nachek video ya 2440p Youtube..no buffering..inateleza tuu
Ya Kwako tu.Unanunua vifurush gan
Hamia kitu Halotel jamaa wako vizuri sana na spidi yao kali sanahakika namba inasomeka sasa,Leo nimenunua Mb(airtel) @500. Badala yakupewa Mb 150 now wanatoa Mb 80. Haha aisee sasa kwa hali hii si jamii forum nitaisikia katika magazeti ya udaku..
Halotel[emoji117] Zinakatika haraka=internet speed ni fastahalotel wamepunguza 250 to 200 halafu zinafutika kama upepo by now natumia tigo wao wana 130lakini nimetumua masaa mengi yaani halotel zingeshakatika mda tu
Zote hizo za nini kama sio misifa tu mkuuAcheni kuendekeza vya bure kubabake zenu.
Mie mbona najiunga 40,000 Voda kwa week na silalamiki???
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG]
Ya Kwako tu.
Cheza na menyu hii *149*03#
Zipo offa tofauti tofauti hivo ukifungua once ukiona hujaona fungua tena na tena...kama unarefresh vile. Mana kuda data voice call.
So unaeza kufungua mara ya kwanza ikaja data tuu o voice tuu...so cheza ma menu iyo.
bora nitumie tigo kwaza speed ya halotel inazingua kwenye simu yangu alwayz inakatakata nimeondoa line ya0o sasa naona wananitumia mameseji kibao ya kuniambia huduma zao kikikiki untill further noticeHalotel[emoji117] Zinakatika haraka=internet speed ni fasta
Tigo[emoji117] Zinakaa muda mrefu = internet speed ni ndogo
Nafikiri hulikuwa hujafahamu
We kibokoDuh nimeamin kuna watumiaji wazur wa vifurush vya internet yan mtu unatumia Mb 600 kwa wiki ?? Hongera coz mimi huwa natumia GB 2 kila siku kwahyo kwa wiki ni GB 14 [emoji32][emoji32][emoji32][emoji26][emoji22] Nafwaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] atakuwa anatokea kule kwenye tetemekoZote hizo za nini kama sio misifa tu mkuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] atakuwa anatokea kule kwenye tetemeko