johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,976
Ni vema watanzania tukajua kama Chadema ina ofisi ndogo Ubelgiji inayotumiwa na makamu mwenyekiti wa chama hicho chenye makao yake makuu mtaa wa Ufipa Kinondoni.
Na pia kama yale yote anayoongea Tundu Lisu na vyombo vya habari vya Ulaya na Marekani yana baraka za chama hicho.
Na kwamba kwa sasa Msemaji wa Chadema ni nani? J J Mnyika, Makene su Tundu Lisu au yoyote tu ansruhusiwa kuongea chochote?
Nawatakia Kwaresma yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Na pia kama yale yote anayoongea Tundu Lisu na vyombo vya habari vya Ulaya na Marekani yana baraka za chama hicho.
Na kwamba kwa sasa Msemaji wa Chadema ni nani? J J Mnyika, Makene su Tundu Lisu au yoyote tu ansruhusiwa kuongea chochote?
Nawatakia Kwaresma yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!