johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,870
Nilitegemea baada ya kuingia kwenye Maridhiano viongozi wakuu wa CCM na Chadema wangekuwa wanatoa kauli za kujenga siyo kubomoa.
Lakini ni viongozi wa CCM Ndio wamekuwa watulivu pamoja na Mbowe pekee kwa upande wa Chadema.
Kauli za Tundu Lisu na Mnyika zimekuwa za Utata sana.
Juzi Mnyika kazungumzia Muswada wa Katiba Mpya unaoepelekwa bungeni huku akitoa tahadhari kadhaa kana kwamba hakuna Maridhiano.
Tundu Lissu naye kashuka tu kwenye Ndege na Kuanza kuishambulia CCM kwamba ina Watu walewale wanaofanya mambo yaleyale na kwamba CCM imefeli.
Niwape tu angalizo viongozi wa Chadema wasisahau kuwa CCM ni Chama kikubwa sana.
Nawatakia Juma Takatifu Lenye Baraka tele!
Lakini ni viongozi wa CCM Ndio wamekuwa watulivu pamoja na Mbowe pekee kwa upande wa Chadema.
Kauli za Tundu Lisu na Mnyika zimekuwa za Utata sana.
Juzi Mnyika kazungumzia Muswada wa Katiba Mpya unaoepelekwa bungeni huku akitoa tahadhari kadhaa kana kwamba hakuna Maridhiano.
Tundu Lissu naye kashuka tu kwenye Ndege na Kuanza kuishambulia CCM kwamba ina Watu walewale wanaofanya mambo yaleyale na kwamba CCM imefeli.
Niwape tu angalizo viongozi wa Chadema wasisahau kuwa CCM ni Chama kikubwa sana.
Nawatakia Juma Takatifu Lenye Baraka tele!