Mazoezi Nyumbani mechi ugenini

Mazoezi Nyumbani mechi ugenini

Ushindwe na ulegee katika jina la Yesu
halafu wale wanakupangia zamu ya kupika,ngozi zao zinanuka pia hawaogi wiki nzima hata wakiwa kwenye bleed,hawajui kupika mchuzi,hata pilau lile jeusi la ovyo ovyo hajui,akipigwa na jua hio harufu utamkimbia kwa kweli usioe,

Mmhh? Mke wetu wa kitanzania? Mbona kama kuna malice hapa? Ngozi zao zinanuka hawaogi wiki nzima hata wakiwa mwezini? Mbutaa
 
Japo wamekosea, Lakini siwalaumu sana maana dada zetu mmezipoteza zile hazina, Zile hazina muhimu.
Waganda na Wanyarwanda wanatuelewa mno.
 
Back
Top Bottom