Wilhelm Johnny
JF-Expert Member
- Jan 13, 2016
- 1,369
- 1,336


na bado tunafanya utafiti tuongeze nchi kadhaa kwenye list kuhusu mapishi tutawafundisha taratibu

na bado tunafanya utafiti tuongeze nchi kadhaa kwenye list kuhusu mapishi tutawafundisha taratibuHawajui kupika halaf wachafu hawaogi wanapaka mafuta tuNina Marehemu dadangu alikuwa anaumwa akasikia Burundi kuna dawa alivyopata nguvu akaenda,kila nkimpigia analalamika mavyakula mabaya jamani hawajui kupika,kila siku kilio chake hicho,maskini mpaka akafariki,kuna wanyarwanda nlikuwa nafanya nao kazi kuku,mayai dagaa alikuwa hajui na hajawai kula (akitoka kwao anakuja na unga wa ulezi sijui ndo wanapikia ugali kwao alivyokuja nao nikawafundisha kupika uji mwe mwe mwe nlijiroga wote wakajipanga wajifunze kupika uji),wachoyo jamani
Embu wanaume zetu bakini huku tuwakarangizie





Hakuna kwendaWaache waende
Tumefunga maombi hamuwezina bado tunafanya utafiti tuongeze nchi kadhaa kwenye list kuhusu mapishi tutawafundisha taratibu
Tatizo nyie mmefanya wanaume vitega uchumiTumefunga maombi hamuwezi
Ha Ha Ha kwenye kupika wale ndugu zetu wanajua kuchemsha makande tu ,githeri mchele kwao mpaka yesu au mtume akizaliwa,wanaume wetu jamani lakini why?

Nililiona nikasema hapaa ataachika kwa pamoja tuseme AmeenUliona lile jicho la bibi harusi wa kiba kwa prince wetu,haki yule atamtesa mwanetu
[HASHTAG]#aachike[/HASHTAG] tu kwa kweli hatutaki atutesee mwanetu
Na watakula limbwata mpaka wakomeDawa yao limbwata tu.
Hao hao wana maji kama mito...Hawa kutoka kwa Kagame si wanasemwa hawajui kujisafisha mbunye?..imekuwaje sasa au washajua?..
Dawa yao limbwata tu.
Kwani wale wengine hawaombiTatizo nyie mmefanya wanaume vitega uchumi
Acha ubahili weweeMkipunguza kuomba hela saana,tutarudi nyumbani!

Kuna uzi ule wa congo usome utacheka
Hawafundishiki wale bakini nyumbanina bado tunafanya utafiti tuongeze nchi kadhaa kwenye list kuhusu mapishi tutawafundisha taratibu
Bado wapo speed ya 2G sasa nyie kasi yenu 5GKwani wale wengine hawaombi
Hahaha,kidogo tu siyo saana!Acha ubahili wewee![]()
![]()
UnatusingiziaBado wapo speed ya 2G sasa nyie kasi yenu 5G