Ubarikiwe kwa kutu update. Ninawatakia kila la kheri katika safari ya kumhifadhi Regia.
Regia tunakusindikiza kwa mara ya mwisho leo,
moyoni nabubujikwa machozi,kumbuka mama yale tuliyozungumza na kuyawekea mikakati.
Regia nani atanisaidia kuyasimamia yale tuliyoyaongea,nisaidie mama,nitafanya,lakini wewe ndiye yalikuwa maono yako,nisaidie huko uliko.
Dr anakulilia,watoto wangu nyumbani wanakulilia,hata dada aliyekuwa anakuhudumia anakulilia.
Tulikupenda.
Imekuwa ni kazi ya usiku kucha, baada ya ratiba nzima ya mazishi kubadilika, awali tulikuwa tutoe salamu zetu za mwisho nyumbani then twende kanisani baadae mazishi.
Lakini baada ya kuona umati mkubwa wa watu, tufanya maamuzi usiku wa saa nane kuwa mambo yote yafanyike kwenye open space, ili kila mtu shiriki vema.
Hivyo imekuwa ni kazi ya usiku kucha kuhamisha mahema viti na mapmbo mpaka mda huu.
Tumemaliza na ratiba itaanza mda si mrefu.
Regia tunakusindikiza kwa mara ya mwisho leo,
moyoni nabubujikwa machozi,kumbuka mama yale tuliyozungumza na kuyawekea mikakati.
Regia nani atanisaidia kuyasimamia yale tuliyoyaongea,nisaidie mama,nitafanya,lakini wewe ndiye yalikuwa maono yako,nisaidie huko uliko.
Dr anakulilia,watoto wangu nyumbani wanakulilia,hata dada aliyekuwa anakuhudumia anakulilia.
Tulikupenda.