Du aisee kweli we jamaa ni mtu wa mission ngumu Lol,we commando aisee.nimejiridhisha aloo.halafu unaonesha hukubali kushindwa ukiamua lako.
 
Una dhambi wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
😂😂😂😂
 
dah mkuu 😂😂😂nimekosa neno la kusema
 

Boss kuwa mkweli ulipiga kimoja cha fasta au hukupiga kabisa maana mazingira tata kama hayo mabaharia huwa hatupigi viwili huwa ni kimoko tuu.mana viwili vinataka mda na jamaa yake angestuka mbona umemsindikiza chooni mda mrefu au hata watu wangewaona mazingira hayo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Huoni mkuu kama wametenda upumbavu sehemu sio??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muda wote akili yako inawaza ngono tu, tafuta kazi ufanye dogo, toka huko kwa baba mkubwa nenda kijijini kalilewa shauri zako
Too sad, mtu ambaye knows nothing about me, getting the authority to talk about me. You've the right to talk about what you wish. Preach preach preach.
 
Kwenye parking ya ofisini baada ya kazi, tulichelewa toka job check camera hazipi kwenye gari na kuna kigiza totoroo


pembeni ya barabara usiku mpaka sasa nikiona gari imepaki pembeni imewasha hazard usiku najua mzigo unaliwa ndani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…