Unakosea mkuu ukisema hivo mie ni mkristo na naiheshimu sana dini ya mtu yoyote so usije ukasikia fulani anaitwa juma ikajua ni muislamu au anaitwa john basi ni mkristo hapana utakuwa umekosea! Kuitwa ALI haimaanishi kwamba wewe ni muislam ila je unafuata uislamu unavotaka? au wewe kuitwa JOSEPH haimaanishi haimaanishi kwamba wewe ni mkristo ila ila je unafuata UKRISTO unachofundisha? kwa hio sio vizuri kuwaona WAISLAAM NI WATU WABAYA LA HASHA ILA KUNA WATU WACHACHE KAMA HAO NDO WANAOIHARIBU DINI KUTOKANA NA MAJINA YAO! NA NDO MAANA KULE KWENYE ISLAMIC STATES WANAWANYONGA.fuatilia hakuna dini inayomtaka mtu awe drug traficker au drug dealer!!!!! Au tuseme kwamba wale wauzaji wakubwa wa mihadarati kule marekaniwenye majina ya JOSEPH,WINSTON,GEORGE n.k na wao ni WAKRISTO? Mkuu jaribu kufikiri mambo katika three dimensional usikurupuke!!!!!! Na usikashfu dini ya mwenzio sisi ni watu wa AL~KITABU yaan tuliopewa kitabu kabla yao so ni ndugu zetu hawa tusiaone wao kuwa ni WATUKUTU KIASI HICHO.asante
Unakosea mkuu ukisema hivo mie ni mkristo na naiheshimu sana dini ya mtu yoyote so usije ukasikia fulani anaitwa juma ikajua ni muislamu au anaitwa john basi ni mkristo hapana utakuwa umekosea! Kuitwa ALI haimaanishi kwamba wewe ni muislam ila je unafuata uislamu unavotaka? au wewe kuitwa JOSEPH haimaanishi haimaanishi kwamba wewe ni mkristo ila ila je unafuata UKRISTO unachofundisha? kwa hio sio vizuri kuwaona WAISLAAM NI WATU WABAYA LA HASHA ILA KUNA WATU WACHACHE KAMA HAO NDO WANAOIHARIBU DINI KUTOKANA NA MAJINA YAO! NA NDO MAANA KULE KWENYE ISLAMIC STATES WANAWANYONGA.fuatilia hakuna dini inayomtaka mtu awe drug traficker au drug dealer!!!!! Au tuseme kwamba wale wauzaji wakubwa wa mihadarati kule marekaniwenye majina ya JOSEPH,WINSTON,GEORGE n.k na wao ni WAKRISTO? Mkuu jaribu kufikiri mambo katika three dimensional usikurupuke!!!!!! Na usikashfu dini ya mwenzio sisi ni watu wa AL~KITABU yaan tuliopewa kitabu kabla yao so ni ndugu zetu hawa tusiaone wao kuwa ni WATUKUTU KIASI HICHO.asante
Mkuu ni kweli ishu hapa ni kwamba serikali ihakikishe inasafisha idara zake zooote na kuwatia mikononi mwa sheria wale wote wanaojihusisha na hiii bishara ya dawa za kulevya.WANAJULIKANA SO WASIFUMBIWE MACHOKwanza ungeuliza icho kidhibiti ka bado kipo.
Ndio zake DPP, juzi tu kamfutia idi simba kesi ya kuuza udakuna ile ya Tanga mdogo wake mbunge mstaafu wa Igunga,DPP amemfutia mashtaka
Hivi kwa nini wanaojihusisha na madawa ama madrug dealers wengi yaani kama 90% ni waislamu? Mimi siyo mdini lakini wewe chunguza hata waliotajawa kwenye ile list ya Hong Kong ama wanaokamatwa uwanja wa ndege Dar ndiyo utajua nachokisema.Waaislamu bwana wanatuharibia ndugu zetu
Watu wanaendeshwa kwa matukio...
Ni kweli kabisa ndugu!! Yaani viongozi wetu hawa hutumia tukio moja kufunikia jingine!na ni kweli kabisa kuwa viongozi(hasa wa ccm)wamekuwa wakitengeneza matukio hata ya mauaji ili kufunika na/au kuwasahaulisha wananchi kuhusu hoja nzito iliyokuwa ikiwaumiza vichwa na au kuhatarisha maslahi ya wakubwa hao,ila Mungu ni mkubwa!na ni mkubwa zaidi juu ya wanyonyaji na wakandamizaji wauaji kama ccm!!na atawalipiza hakika.
Swali lako zuri sana na observation yako ni sahihi kabisa.
Natumaini swali litajibiwa kisomi kwa sababu jibu lake lipo na mifano halisi ipo.
Na hiyo siyo kwenye madawa ya kulevya tu, hata kwenye kesi za wizi mdogo mdogo mahakama ya mwanzo etc.
Si ndio wanaoongoza kwa umaskini hapa nchini? Umesahau alichosema yule jamaa aliyeandika ile barua kutoka Hong Kong kuwa wao ni Mules (Punda) wanaotafuta ujira baada ya kufikisha mzigo? Haya ni matokeo ya watu (hasa vijana) kukaa bila ajira, watafanya kazi yoyote ili mradi mkono uende kinywani! Nimemuona FaizaFoxy kwenye uzi fulani akinadi kuwa eti drug dealers wengi ni Wakatolic!!! Huoni aibu mdini wewe? Ni wapi dunia hii kuna watu wenye maendeleo mazuri ya maisha kama Wakatolic? Mkuu wa nchi mwenyewe ni shahidi kwani alisoma kwenye shule zao ingawa ni Muislamu, pole sana!
Du , kumbe ukifanya dili za ma drugi hufungwi!!
Ha ha ha !!!Dili za Bilions! Ndugu yangu akufunge nani? Kwa hili dili unaweza kupewa Mke hata na Raisi ukaoa mwanaye maana mpunga wake si mchezo.
Huyu jamaa tangu abadili rangi ya bendera amekuwa mjinga kweli. Au kwa kuwa mabwana wako ndio wanafanya hii kitu?