Mazao jamii ya maharage ni fursa nzuri ya biashara

Kigoma hio mbegu ya maharage ya njano imepitwa na wakati, jifunzeni nyanda za juu kusini wana mbegu nyingi nzuri.

Siku nikija nyumbani ntamletea bi mkubwa mbegu za Mbeya na Njombe/Iringa ajaribu kuzipanda.
Hizo za huko kusini huwa nizarangi gani mkuu.
 
View attachment 1755403
Low Price Fully Automatic 1kg 2kg 3kg 5kg 10kg Bag
Hii inaanzia £8,000
Habari Mkuu, nilikuomba maelezo ya kutosha kuhusu hii mashine. Bado hujanijibu mkuu.

Kuna fursa hii, nadhani tunaweza kujaribu huko;

"USADF invites applications from registered African agricultural cooperatives, producer groups, processors, and enterprises for grant financing. Grants will support solutions that extend your organizations’ own capabilities to increase your revenues, create jobs, improve farmer incomes, and achieve sustainable market-based growth.

USADF country and sector for Tanzania: beans, coffee, cotton, horticulture, maize, rice

Criteria

  • Your organization must demonstrate that it has successfully worked together for a minimum of 2 years, has a minimum of 200 active members or suppliers, and has the capability to effectively use grants funds.
  • Your ownership and management must be in agreement on the problem to be addressed and have a commitment to benefit your community.
  • Your organization must demonstrate the capability to account for USADF funds by showing you have a minimum of 2 years of basic functional management and financial controls in place.
  • Your organization must be 100% African-owned and African-led.
  • USADF is not accepting applications from non-government organizations (NGOs) and intermediaries. Your organization must be an agricultural cooperative, producer group, processor, or business.
Successful Proposals Must…
  • Have a clearly defined market opportunity to grow revenues that can increase incomes.
  • Have a clearly defined plan of how you can increase revenues and incomes in 2- 4 years.
  • Commit significant cash or specific in-kind contributions toward the grant activity.
  • Be able to directly impact hundreds of people and community members.
  • Be able to identify a path for continued growth and financing after the USADF grant ends.
  • Not exceed US $250,000.
  • Special consideration will be given to applications that incorporate innovative strategies to make use of new approaches and technologies, including complementary finance and information technology.
  • Special consideration will also be given to women-owned organizations and applications that promote youth entrepreneurship and employment
Application instructions
  • Your submission must include the following information from your organization:
    • financial statements for the last 2 years
    • registration document
    • completed grant application form, in English, or French
  • Applications must be in the sectors identified above for each country.
  • Applications can be no more than US $250,000.
  • Submit all documents in one e-mail by May 17, 2021 to the e-mail address linked above at apply here for your country".

More information available here; Apply for funding | USADF
 
Mazao jamii ya maharage ni maharage, kunde, choroko, mbaazi, njugumawe nk. Kutokana na idadi ya wasio kula nyama duniani kuongezeka soko la mazao haya limeongezeka sana. Mazao haya hutumiwa na watu wa dini na race zote.

Licha ya mabara mengi kuwa watumiaji wazuri wa mazao haya, Afrika ya Magharibi na Kaskazini ambako kuna idadi kubwa ya Waisalmu, mwezi wa Ramadhani mazao haya ni keki ya moto.

Changamoto kubwa ni kuyaanda mazao haya katika ubora. Yasiwe na vumbi, mawe na yawe katika vifungashio bora, imara na vya kuvutia.

Kabla ya covid pandemic nilibahatika kufika Morocco, nilishangaa kuona kunde kutoka China ziko dukani. Nilikumbuka kuwa sehemu kubwa ya Morocco ni jangwa lakini pia niliwaza yaani Mchina amepata hili soko na sisi Waafrika hatulioni.

Kunde za Wachina zilifungwa katika ujazo wa nusu kilo na kilo moja. Zilikua safi na zinavutia kwakweli katika macho ya mnunuaji.

View attachment 1756147
Hiyo picha ndio mambo ya GMO ya kichina au
 
Habari Mkuu, nilikuomba maelezo ya kutosha kuhusu hii mashine. Bado hujanijibu mkuu.

Kuna fursa hii, nadhani tunaweza kujaribu huko;

"USADF invites applications from registered African agricultural cooperatives, producer groups, processors, and enterprises for grant financing. Grants will support solutions that extend your organizations’ own capabilities to increase your revenues, create jobs, improve farmer incomes, and achieve sustainable market-based growth.

USADF country and sector for Tanzania: beans, coffee, cotton, horticulture, maize, rice

Criteria

  • Your organization must demonstrate that it has successfully worked together for a minimum of 2 years, has a minimum of 200 active members or suppliers, and has the capability to effectively use grants funds.
  • Your ownership and management must be in agreement on the problem to be addressed and have a commitment to benefit your community.
  • Your organization must demonstrate the capability to account for USADF funds by showing you have a minimum of 2 years of basic functional management and financial controls in place.
  • Your organization must be 100% African-owned and African-led.
  • USADF is not accepting applications from non-government organizations (NGOs) and intermediaries. Your organization must be an agricultural cooperative, producer group, processor, or business.
Successful Proposals Must…
  • Have a clearly defined market opportunity to grow revenues that can increase incomes.
  • Have a clearly defined plan of how you can increase revenues and incomes in 2- 4 years.
  • Commit significant cash or specific in-kind contributions toward the grant activity.
  • Be able to directly impact hundreds of people and community members.
  • Be able to identify a path for continued growth and financing after the USADF grant ends.
  • Not exceed US $250,000.
  • Special consideration will be given to applications that incorporate innovative strategies to make use of new approaches and technologies, including complementary finance and information technology.
  • Special consideration will also be given to women-owned organizations and applications that promote youth entrepreneurship and employment
Application instructions
  • Your submission must include the following information from your organization:
    • financial statements for the last 2 years
    • registration document
    • completed grant application form, in English, or French
  • Applications must be in the sectors identified above for each country.
  • Applications can be no more than US $250,000.
  • Submit all documents in one e-mail by May 17, 2021 to the e-mail address linked above at apply here for your country".

More information available here; Apply for funding | USADF
Hii kitu nafatilia, niliwahi kuwa project manager wa project iliyokuwa funded by USADF.
 
Tatizo la bongo Sky Eclat Ni uwekezaji. Kuna uwekezaji mdogo kuanzia kwenye uzalishaji mpaka processing. Naweza kusema 60% ya wakulima wanalima chini ya vieka 5. wengi Sana eka 1-2 baaasi. Hapa Ni Lazima aforce kuweka high profit margin ili apate kitu. Ndio maana unakuta Kama huyo mchangiaji hapo juu alivyosema kuwa Kigoma wanauza 1.5 kg kwa 2500 sawa na 1,000/kg wakati DSM (ambapo Ni jiji la larger consumers wa mazao) Ni 2,000/kg.

Kwa sababu ya mtu mmoja mmoja kuzalisha kidogo kidogo gharama za kusafirisha kuunganisha mzigo zinakuwa juu sana. Ukumbuke pia wakulima hawasafishi vizuri Wala kuweka katika grades. Ukianza pia na kugrade ndipo usishangae kukuta grade 1 Ni 20% ya mzigo mzima, 60% Ni grade II. Hapa Sasa utakuta mazao ya Tanzania Yana Bei juu mno, Kama ilivyo kwenye mahindi. Mahindi ya Zambia Ni mazuri mno na Bei chini kidogo kuliko ya Tanzania. Soya ndio balaa lake bila angalau 1,200/kg mkulima anaona Bora atupe.

Suluhisho Ni Ushirika/Co-operatives societies. Kupitia ushirikani ndipo uhamasishaji wa kilimo unafanya, mazao yanaweza kukusanywa kwa Pamoja, kusafishwa inavyotakikana, kutafuta soko.

Tatizo jingine Ni wanasiasa na Serikali kuingilia kazi za Co-operative society mfano la mkuu wa wilaya ya Songwe.

Ushirika uliopo Sasa hivi umejaa wazee wasio na ubunifu, hawana soft marketing skills na hawajui hasa kazi ya Ushirika.

Now najifunza canning process, inshallah mwenyezi Mungu akijaalia in 5 years niwe nafunga njugu mawe.
Anayetaka njugu mawe kutoka Bukoba zipo karibu kukomaa, tutafutane.View attachment 1755251
Safi....ila sio wazee wote hawana soft skills bana😧
 
Mazao jamii ya maharage ni maharage, kunde, choroko, mbaazi, njugumawe nk. Kutokana na idadi ya wasio kula nyama duniani kuongezeka soko la mazao haya limeongezeka sana. Mazao haya hutumiwa na watu wa dini na race zote.

Licha ya mabara mengi kuwa watumiaji wazuri wa mazao haya, Afrika ya Magharibi na Kaskazini ambako kuna idadi kubwa ya Waisalmu, mwezi wa Ramadhani mazao haya ni keki ya moto.

Changamoto kubwa ni kuyaanda mazao haya katika ubora. Yasiwe na vumbi, mawe na yawe katika vifungashio bora, imara na vya kuvutia.

Kabla ya covid pandemic nilibahatika kufika Morocco, nilishangaa kuona kunde kutoka China ziko dukani. Nilikumbuka kuwa sehemu kubwa ya Morocco ni jangwa lakini pia niliwaza yaani Mchina amepata hili soko na sisi Waafrika hatulioni.


View attachment 1756147 tatzo vijana hatujiamin
 
Du Kuna sehem maharage ya njano debe ni Tsh 13,000 wastani kg 1 kama 700 hivi.Tuna hao wanavijiji unawapa kazi ya kugrade kabisa na ni organic hawaweki dawa zozote maana wakishavuna tu mzigo unaingia sokoni.
Wapi uko mkuu
 
Kwa ardhi tuliyonayo sekta ya kilimo ingetogen ajira nyingi sana. Chakula ni biashara yenye faida zikuzote kwani kila siku inahitajika. Bakhresa ame tajiri la kwa biashara ya chakula.

Vyama vya ushirika vikiwa na mitano mikubwa vinaweza kuajiri vijana wa purchasing and marketing ambao wanaweza kwenda nje ya nchi kutafuta masoko.

Wakulima waelimishwe kuwa lengo liwe ni kuzalisha grade 1 na kwa grade hii bei ni 1$ kwa kilo. Itasaidia kuongeza jitihada. Ni kama mtihani kila mtu anasoma apate A ikitokea umepata C unashukuru bora umefaulu.
umeongea point sana bestito yaani mpk umenifanya nianze kuwa na shauku ya kuingia kwenye mazao nianze kufanya
 
Du Kuna sehem maharage ya njano debe ni Tsh 13,000 wastani kg 1 kama 700 hivi.Tuna hao wanavijiji unawapa kazi ya kugrade kabisa na ni organic hawaweki dawa zozote maana wakishavuna tu mzigo unaingia sokoni.
ni mkoa gani huko
 
Habari Mkuu, nilikuomba maelezo ya kutosha kuhusu hii mashine. Bado hujanijibu mkuu.

Kuna fursa hii, nadhani tunaweza kujaribu huko;

"USADF invites applications from registered African agricultural cooperatives, producer groups, processors, and enterprises for grant financing. Grants will support solutions that extend your organizations’ own capabilities to increase your revenues, create jobs, improve farmer incomes, and achieve sustainable market-based growth.

USADF country and sector for Tanzania: beans, coffee, cotton, horticulture, maize, rice

Criteria

  • Your organization must demonstrate that it has successfully worked together for a minimum of 2 years, has a minimum of 200 active members or suppliers, and has the capability to effectively use grants funds.
  • Your ownership and management must be in agreement on the problem to be addressed and have a commitment to benefit your community.
  • Your organization must demonstrate the capability to account for USADF funds by showing you have a minimum of 2 years of basic functional management and financial controls in place.
  • Your organization must be 100% African-owned and African-led.
  • USADF is not accepting applications from non-government organizations (NGOs) and intermediaries. Your organization must be an agricultural cooperative, producer group, processor, or business.
Successful Proposals Must…
  • Have a clearly defined market opportunity to grow revenues that can increase incomes.
  • Have a clearly defined plan of how you can increase revenues and incomes in 2- 4 years.
  • Commit significant cash or specific in-kind contributions toward the grant activity.
  • Be able to directly impact hundreds of people and community members.
  • Be able to identify a path for continued growth and financing after the USADF grant ends.
  • Not exceed US $250,000.
  • Special consideration will be given to applications that incorporate innovative strategies to make use of new approaches and technologies, including complementary finance and information technology.
  • Special consideration will also be given to women-owned organizations and applications that promote youth entrepreneurship and employment
Application instructions
  • Your submission must include the following information from your organization:
    • financial statements for the last 2 years
    • registration document
    • completed grant application form, in English, or French
  • Applications must be in the sectors identified above for each country.
  • Applications can be no more than US $250,000.
  • Submit all documents in one e-mail by May 17, 2021 to the e-mail address linked above at apply here for your country".

More information available here; Apply for funding | USADF
Jimbi mbona jina la machine lipo hapo? Yaani mimi nimefungua huu uzi dakika tano zilizopita na naona kabisa machine inaitwa "coretamp" packaging machine na inauzwa alibaba kwa $18,000.
Mkuu kuna mambo mengi unapata information mwenyewe online.Una computer au smartphone basi mengine unamaliza mwenyewe.
 
Mazao jamii ya maharage ni maharage, kunde, choroko, mbaazi, njugumawe nk. Kutokana na idadi ya wasio kula nyama duniani kuongezeka soko la mazao haya limeongezeka sana. Mazao haya hutumiwa na watu wa dini na race zote.

Licha ya mabara mengi kuwa watumiaji wazuri wa mazao haya, Afrika ya Magharibi na Kaskazini ambako kuna idadi kubwa ya Waisalmu, mwezi wa Ramadhani mazao haya ni keki ya moto.

Changamoto kubwa ni kuyaanda mazao haya katika ubora. Yasiwe na vumbi, mawe na yawe katika vifungashio bora, imara na vya kuvutia.

Kabla ya covid pandemic nilibahatika kufika Morocco, nilishangaa kuona kunde kutoka China ziko dukani. Nilikumbuka kuwa sehemu kubwa ya Morocco ni jangwa lakini pia niliwaza yaani Mchina amepata hili soko na sisi Waafrika hatulioni.

Kunde za Wachina zilifungwa katika ujazo wa nusu kilo na kilo moja. Zilikua safi na zinavutia kwakweli katika macho ya mnunuaji.

View attachment 1756147
Uliona kunde za China Comorro zikiwa packed vzr na hukupiga picha?? Umetukosea sn
 
Back
Top Bottom